Mwana FA, Umepiga hatua 4 mbele umerudi 8 nyuma, Disapointing

alidhani atatembelea nyota ya kiba kumbe kiba mwenyewe anatembelea nyota ya Dimond.............Ova
 

asante
 
siijawahi kumpenda FA na wala sioni dalili ya kumpenda, hivyo atoe ngoma kali au pole does not cross my mind.
 
Mwanafa alikuwa zamani kuanzia 2005 na miaka kabla ya huo....ila tokea 2006 amekua akibahatisha bahatisha tuu, anasafiria nyota ya A.Y
 
Kuna ukweli ulichokiongea,Mwana FA kinachomwangusha siku hizi ni production mbovu,Kama zamani ndio track ambayo production ilikuwa nzuri but Mfalme na Kiboko yangu wamechemsha afadhali Mfalme GNako aliimba vizuri sana kwenye chorus

huwa napenda uwasilishaji wa FA japo sio shabiki wake.na kwenye mfalme nilikubali sana theme ya wimbo na chorus za hatare toka kwa Gnako...ila hii nyimbo mpya jamaa kachemsha!!ki koras cha hovyo hovyo tu,flow nayo ikafuatia ubovu wa chorus basi shida tu!afu wimbo bado unauza unatoa mwingine within three months...hii ni suicide ya kazi zake mwenyewe.
ni msanii mkongwe na makosa aliofanya ni ya watoto wadogo so inakera zaidi!
 
yan hizo ndo umeona nzuri? Mwana FA umeanza kumsikiliza lini? Naomba tuanzie apo kwanza

Kwenye mwanafalsafa,tuliza boli,aminia na nyinginezo..

No matter what,huwezi kusema mfalme,hawajui na yalaiti ni ngoma mbovu
 
Kwenye mwanafalsafa,tuliza boli,aminia na nyinginezo..

No matter what,huwezi kusema mfalme,hawajui na yalaiti ni ngoma mbovu

Sio ngoma mbovu ukimlinganisha na wasanii wa hip hop wasiojua lakini ni mbovu ukilinganisha na uwezo wake wa awali na wasanii wa hip hop wanaojua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…