SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
Lile komando letu la kike kutoka kanda maalum, lilipiga chorus iliyotukuka kabisa!msiache kuongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile komando letu la kike kutoka kanda maalum, lilipiga chorus iliyotukuka kabisa!msiache kuongea
"Nishaenda shule bila viatu, nishatoa funza kama buku.Mfalme Ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Baada ya kukumbuka ngoma karibia zote za mwana FA, nimerudi kuifuta hii comment. Huyu fala kila ngoma yake ni ya moto!"Nishaenda shule bila viatu, nishatoa funza kama buku.
Ipo siku utaniheshimu au utaheshimu hela zangu"
Mfalme ni the best asee!
Naam"Nishaenda shule bila viatu, nishatoa funza kama buku.
Ipo siku utaniheshimu au utaheshimu hela zangu"
Mfalme ni the best asee!
Kaka hii ngoma acha...second verse[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] FA hata aimbe vp hii Binamu[emoji119]Mkuu Mwana Fa hawez kutoa ngoma kali kama Binamu,naungana nawewe,kila siku ipo kwa playlist yngu
Kaka hii ngoma acha...second verse[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] FA hata aimbe vp hii Binamu[emoji119]Mkuu Mwana Fa hawez kutoa ngoma kali kama Binamu,naungana nawewe,kila siku ipo kwa playlist yngu
Acha kabisa[emoji119][emoji119]"Ukigundua kama jana ulilewa ukamwonyesha utupu mkweo utamuangalia vipi leo" -FA BINAMU
Mfalme✔️✔️Kuna
1 mfalme
2. Ameen ft dully
3.binamu
4. Angalau wee endelea tuu
Mbili za mwisho nahusikaMimi na mabinti damu damu
Ingekuwa vipi?
Mfalme
Mr Sugu ana elimu Kiwango gani?Siku mwana FA akiimba ngoma kali kuizidi BINAMU naombeni mnishtue...
Hii Binamu imejaa punchline sana,Beat moja nzito kutoka kwa Marco Chali....Flow unyama kabisa!
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]