Mwana J.F..Unakula Tsh.ngapi kwa siku?

Niliwahi kukaa na kaka yangu mwezi mmoja baada ya kumaliza chuo ikawa lunch na diner anakula nyumbani, alishangaa jinsi gharama zilivyopungua kwa huo mwezi, so inawezekana.

Hiyo past tense inabidi uirewind kwakweli[emoji12] [emoji12]

Sasa jirani inabidi nipange ratiba ya kukutembelea, hiyo bajeti inatutosha kabisa.
 
Naomba kuijua profession yako mkuu
 
Kwa hiyo ukirudi home mnapima uzito wa chakula?

au umemaanisha kwa mfano ni wali, basi mnapima mchele kg 2???? Na huo ni wako mwenyewe au ndo familia nzima? na mko wangapi? sorry kwa maswali mengi...

Usijali. Nanunua mchele kwa mwezi mzima, nikigawa kwa siki najua imetumika kilo ngapi. Lazima niwe na bajeti nnayoilewa. Kwa iyo nikiweka home kilo 100. Najua approximation ni siku gani itakua imemaliza. Familia nzima pamoja na wanangu
 
Home 10,000
Mchepuko 15,000
Lunch 4,000
Beer 20,000
Petroleum 10,000
Vocha 2,000
Vinginevyo 10.000
Jumla 71,000 per day
 
Nimependa mchanganuo wako maana una reality ndani yake
 
Dah....
Chai + chips dume 200
Ugali + udaga + tikiti 800
Pilau + kachukachu + ndizi 1000
Jumla 2000 kiroho safi
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
 
Mi najua natumia not more than 400k per month! Labda itokee dharura kweli kweli!
 
Mchepuko wagu wenyewe mama ntilie af yupo karb na ofice so nnakuuulaje..[emoji23]
asbuui chapati8 supu ya buku2 mayai ya kuchemsha3 maarage ya jero mchana ugali6 na samaki mkubwa sana af jion kwangu/hom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…