Mwana JamiiForums anayehoji kwanini Rais wa Tanzania akiwa ni Mkristo lazima awe ni Mkatoliki anatuaibisha 'Lake Zone Geniuses' wote

Mwana JamiiForums anayehoji kwanini Rais wa Tanzania akiwa ni Mkristo lazima awe ni Mkatoliki anatuaibisha 'Lake Zone Geniuses' wote

Yaani unaishi uswahilini??? Nilidhani wewe ni mjanja kumbe mshamba kabisa. Siku ukisema Dkt Samia 2025 utaondoka kundi la wajinga
nampenda DR SAMIA balaa!!!!,,,,,kuliko unavompenda wewe,,jana usiku nilimwota,,,,,,,lakini siwezi kuwa chawa wake manake nitamkera kwa kumwasha!!!!......................sipendi kumwasha mama yangu ata siku moja
 
laan kubwa ya wap acha siasa zako iyo n kwasababu waislamu na wakatoliki wote ni wakatoliki yaani roma ilijitungia koran ikaanza wafundisha waarabu islamic is catholik B
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Umeshatahadharishwa hapo juu...

Waislam tukae mbali na huu uzi....

By the way waislam wako karibu sanaaa na wakatoliki....[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom