Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Inawezekana moderator ndio wameuachia leoMbona TBC wameonyesha caption ya picha yaka tangu juzi, una uhakika amefariki leo?
Sio he Ni sheWas he a verified user? RIP
Unafiki na upunguani wa kuiita Corona Nimonia sijui changamoto za kupumua italiangamiza Taifa nzima kwa Corona. Hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kujidanganya kuwa hayapo!Nimonia!
Na bado hamtaki kiingereza mashuleniWas he a verified user? RIP
Wanataka wakijue wao tu!Na bado hamtaki kiingereza mashuleni
Unajua uliugua nini au chuki ipo kazini!Kuna mijitu ina roho mbaya sana! Kwa hakika ni zaidi sana ya ibilisi.
Vifo hivi vingeweza kuepukika. Yenyewe imeuchuna tu. Kwa sababu haiwahusu.
Iko busy kutengeneza mabarabara ya kusafirishia wafu kwenda kuzikwa.
Kwa hakika ni heri ya Abood anayetoa mabasi ya kubebea waombolezaji!