TANZIA Mwana JamiiForums Charity Kasubi afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums Charity Kasubi afariki dunia

Kuna mijitu ina roho mbaya sana! Kwa hakika ni zaidi sana ya ibilisi.

Vifo hivi vingeweza kuepukika. Yenyewe imeuchuna tu. Kwa sababu haiwahusu.

Iko busy kutengeneza mabarabara ya kusafirishia wafu kwenda kuzikwa.

Kwa hakika ni heri ya Abood anayetoa mabasi ya kubebea waombolezaji!
Mkuu pambana na khali yako,unataka hao watu wafanye nini? Hata ulaya watu wanakufa acha kulaumu watu,fuata kanuni zinazotolewa na serikali yako,acha kulalama hakutakusaidia hata kidogo,kulaumu kutakusabanishia kujenga chuki matokeo yake kinga ya mwili wako itashuka na kuufanya mwili wako kuwa host wa madonjwa ya kubukiza na yasiyo ya kuambukiza
 
Kuna mijitu ina roho mbaya sana! Kwa hakika ni zaidi sana ya ibilisi.

Vifo hivi vingeweza kuepukika. Yenyewe imeuchuna tu. Kwa sababu haiwahusu.

Iko busy kutengeneza mabarabara ya kusafirishia wafu kwenda kuzikwa.

Kwa hakika ni heri ya Abood anayetoa mabasi ya kubebea waombolezaji!
subiri zamu. yako sii hutaki nyungu
 
Mkuu pambana na khali yako,unataka hao watu wafanye nini? Hata ulaya watu wanakufa acha kulaumu watu,fuata kanuni zinazotolewa na serikali yako,acha kulalama hakutakusaidia hata kidogo,kulaumu kutakusabanishia kujenga chuki matokeo yake kinga ya mwili wako itashuka na kuufanya mwili wako kuwa host wa madonjwa ya kubukiza na yasiyo ya kuambukiza

Mkuu napambana kweri kweri. Mimi na wapendwa wangu. Sasa hivi nilipofika nimetambua kuwa ni kila mtu na lwake hakuna cha serikali wala nini:

IMG_20210214_214251_251.jpg



Kwa vile tumeachana njia panda na asitokee kikaragosi kufuata kodi.

Si walisema kodi watakuja nyumba kwa nyumba? Watanikuta.

Kumbe ndiyo sababu Mwamwindi alichoka.

Tutege masikio. Tutaelewana tu.

Ulaya na kote kwingine watu hawafi kizembe hivi. Huko watu hawafi huku serikali ikiwa busy kuhimiza kusali na miti shamba ya akina "Nhomba Imajamasala" wataalamu wa mazindiko na kusafisha nyota.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom