shauritanga one
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 245
- 232
R.I.P always God is good .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu pambana na khali yako,unataka hao watu wafanye nini? Hata ulaya watu wanakufa acha kulaumu watu,fuata kanuni zinazotolewa na serikali yako,acha kulalama hakutakusaidia hata kidogo,kulaumu kutakusabanishia kujenga chuki matokeo yake kinga ya mwili wako itashuka na kuufanya mwili wako kuwa host wa madonjwa ya kubukiza na yasiyo ya kuambukizaKuna mijitu ina roho mbaya sana! Kwa hakika ni zaidi sana ya ibilisi.
Vifo hivi vingeweza kuepukika. Yenyewe imeuchuna tu. Kwa sababu haiwahusu.
Iko busy kutengeneza mabarabara ya kusafirishia wafu kwenda kuzikwa.
Kwa hakika ni heri ya Abood anayetoa mabasi ya kubebea waombolezaji!
Mwana JamiiForums mwenzetu Charity Kasubi ametwaliwa.
Taarifa zaidi zinafuata. Marehemu pia alikuwa ni mfanyakazi wa TBC ambako alikuwa akitumika kwenye nafasi ya Uhandisi wa Mawasiliano. Buriani!
RIP Charity KasubiMwana JamiiForums mwenzetu Charity Kasubi ametwaliwa.
Taarifa zaidi zinafuata. Marehemu pia alikuwa ni mfanyakazi wa TBC ambako alikuwa akitumika kwenye nafasi ya Uhandisi wa Mawasiliano. Buriani!
subiri zamu. yako sii hutaki nyunguKuna mijitu ina roho mbaya sana! Kwa hakika ni zaidi sana ya ibilisi.
Vifo hivi vingeweza kuepukika. Yenyewe imeuchuna tu. Kwa sababu haiwahusu.
Iko busy kutengeneza mabarabara ya kusafirishia wafu kwenda kuzikwa.
Kwa hakika ni heri ya Abood anayetoa mabasi ya kubebea waombolezaji!
Wewe fala unawaza nyapu 24/7 😂She was very beautiful.
R.I.PMwana JamiiForums mwenzetu Charity Kasubi ametwaliwa.
Taarifa zaidi zinafuata. Marehemu pia alikuwa ni mfanyakazi wa TBC ambako alikuwa akitumika kwenye nafasi ya Uhandisi wa Mawasiliano. Buriani!
Mkuu pambana na khali yako,unataka hao watu wafanye nini? Hata ulaya watu wanakufa acha kulaumu watu,fuata kanuni zinazotolewa na serikali yako,acha kulalama hakutakusaidia hata kidogo,kulaumu kutakusabanishia kujenga chuki matokeo yake kinga ya mwili wako itashuka na kuufanya mwili wako kuwa host wa madonjwa ya kubukiza na yasiyo ya kuambukiza
Mh yani kumsifu mtu uzuri ni kuwaza ngono?Wewe fala unawaza nyapu 24/7 😂