Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
ukisoma humu wanasema ajali ya gari, alikuwa mlokole huyu katoka kwenye maombi Arusha, njiani kapata ajali gari binafsi, na TBC uki google utaona wakiongelea HAO WANAMAOMBI AMBAO ALIKUWA AMETOKA ARUSHA KUSALI NA KUFUNGA hato mume wa marehemu ama kama wamemfariji na kukutana naye personal, hii dunia ina mitihani sana.RIP...bado mdogo...sababu nini?
Unajua kama ni habari ya mwezi wa pili?ndio hao wenzakw watujuze watu hapa na ikiwezekana waweke namba tumchangie huyo aliyeachwa, TBC wafanye changizo kwa yatima aliyeachwa.
It is a sheWas he a verified user? RIP
Anataka serkali inunue mitungi ya gesi kwa kila mmoja, anataka chanjo, anataka kila siku watu wapimwe wanapotaka kulala au kuamka,Mkuu pambana na khali yako,unataka hao watu wafanye nini? Hata ulaya watu wanakufa acha kulaumu watu,fuata kanuni zinazotolewa na serikali yako,acha kulalama hakutakusaidia hata kidogo,kulaumu kutakusabanishia kujenga chuki matokeo yake kinga ya mwili wako itashuka na kuufanya mwili wako kuwa host wa madonjwa ya kubukiza na yasiyo ya kuambukiza
nimesoma boss, nimefuatilia ni kati ya habari inayoumiza kama ya Marine Hassan , inaumiza sana.Unajua kama ni habari ya mwezi wa pili?
Ndugu yangu watu wetu wanapata shida sana katika kujieleza. Siyo kwamba hawataki la hasha. Tulijiwekea kisiwa chetu wenyewe cha kiswahli sasa wote wanaotuzunguka tukienda kwao wanatushangaa sana hatujui kiingereza.Na bado hamtaki kiingereza mashuleni
Pole sana kwa kifo cha mzee wako na pole kwa mume wa Charity naskia pia aliacha kitoto kichanga.Pole sana kwa husband wake, watoto, mama yake. Jamani kufiwa kunauma uwiiii nakumbuka kifo cha mzee wangu.
Asante sana, lakini kwa mume kuporwa mali siyo sana kama mume akifa ndiyo kimbembePole sana kwa kifo cha mzee wako na pole kwa mume wa Charity naskia pia aliacha kitoto kichanga.
Tatizo hizi familia za kibongo huwa na tamaa za mali, mume ataaachwa hapo ndugu watapora, wataiba na kumnyanyasa mume as if yeye ndiye alimuua. nimeona meni sana haya mambo mahakamani.
Wanaume ni wa-kimya, wacha kabisa, kwa mtu anayeweza futilia aulize wanaume ndio atajua hilo.Asante sana, lakini kwa mume kuporwa mali siyo sana kama mume akifa ndiyo kimbembe
Huyu nimeona kwenye youtube alipata ajali ya gari na akalazwa for a week akafariki, nimeona kaacha kitoto kichanga na mume, Mungu atunze familia yake.RIP dada, vipi ni changamoto ile ile ?