Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Charity ni "he" enheee! Hata picha huoni kama ni mwanamke!!.tatizo ni lipi hapo
he ???Was he a verified user? RIP
Unajua huyu dada kafariki kwa kitu gani au akili yako imekujaa corona tu?Kuna mijitu ina roho mbaya sana! Kwa hakika ni zaidi sana ya ibilisi.
Vifo hivi vingeweza kuepukika. Yenyewe imeuchuna tu. Kwa sababu haiwahusu.
Iko busy kutengeneza mabarabara ya kusafirishia wafu kwenda kuzikwa.
Kwa hakika ni heri ya Abood anayetoa mabasi ya kubebea waombolezaji!
Ndugu achana na huyo asiyejua kutafakari. Huyu dada alipata ajali akiwa anatoka Moshi kuelekea Dar.Mkuu pambana na khali yako,unataka hao watu wafanye nini? Hata ulaya watu wanakufa acha kulaumu watu,fuata kanuni zinazotolewa na serikali yako,acha kulalama hakutakusaidia hata kidogo,kulaumu kutakusabanishia kujenga chuki matokeo yake kinga ya mwili wako itashuka na kuufanya mwili wako kuwa host wa madonjwa ya kubukiza na yasiyo ya kuambukiza
He!?Was he a verified user? RIP
Mkuu, kuto kuwa hai (kuto kuandika chochote) kwa muda wote huo?Sifa za MWANA JF ni zipi?
Kwa lipi tena Mkuu? Nimesema hivyo, kwani hajaandika chochote kwa zaidi ya miaka saba.Kwani unateseka?
Mungu kamchukua huyu mama akiwa ametoka wapi?Mwana JamiiForums mwenzetu Charity Kasubi ametwaliwa.
Taarifa zaidi zinafuata. Marehemu pia alikuwa ni mfanyakazi wa TBC ambako alikuwa akitumika kwenye nafasi ya Uhandisi wa Mawasiliano. Buriani!
Kulikua na haja gani kundika kingereza ilihali hukitambui?Was he a verified user? RIP
charity kasubi, aliolewa na mchagga flani wakili, ni mtu mpole sana yeye na bwana akeAlikuwa anatumia jina gani humu, RIP kifo kinauma hasa kwa waliobaki
Kuna mbunye isiyo na mwenyewe? Tofauri Ni statuses tu, huyu mke, numba ndogo, mchepuko, na Kuna few minutes standingMungu kamchukua huyu mama akiwa ametoka wapi?
Sababu ya kifo ni nini?
Alikuwa na mume na wanaishi pamoja?View attachment 1714819View attachment 1714820View attachment 1714821View attachment 1714822
sijakusoma kamanda wa anga hapo?Kuna mbunye isiyo na mwenyewe? Tofauri Ni statuses tu, huyu mke, numba ndogo, mchepuko, na Kuna few minutes standing