TANZIA Mwana JamiiForums Charity Kasubi afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums Charity Kasubi afariki dunia

Kuna mijitu ina roho mbaya sana! Kwa hakika ni zaidi sana ya ibilisi.

Vifo hivi vingeweza kuepukika. Yenyewe imeuchuna tu. Kwa sababu haiwahusu.

Iko busy kutengeneza mabarabara ya kusafirishia wafu kwenda kuzikwa.

Kwa hakika ni heri ya Abood anayetoa mabasi ya kubebea waombolezaji!
Unajua huyu dada kafariki kwa kitu gani au akili yako imekujaa corona tu?
 
Mkuu pambana na khali yako,unataka hao watu wafanye nini? Hata ulaya watu wanakufa acha kulaumu watu,fuata kanuni zinazotolewa na serikali yako,acha kulalama hakutakusaidia hata kidogo,kulaumu kutakusabanishia kujenga chuki matokeo yake kinga ya mwili wako itashuka na kuufanya mwili wako kuwa host wa madonjwa ya kubukiza na yasiyo ya kuambukiza
Ndugu achana na huyo asiyejua kutafakari. Huyu dada alipata ajali akiwa anatoka Moshi kuelekea Dar.
 
R.i.p Charity....
a2f5a353c67e43adbde00a7db94ff894.jpg
 
Kuna mbunye isiyo na mwenyewe? Tofauri Ni statuses tu, huyu mke, numba ndogo, mchepuko, na Kuna few minutes standing
sijakusoma kamanda wa anga hapo?
Tunazungumzia msiba wewe unazungumzia kitu gani?
Tuwape pole wafiwa, tuwape pole TBC, tumpe pole bwana ake na watoto kama wapo
 
Back
Top Bottom