Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna tatizo? rekebisha basi maana hamkitaki kabisa.Kiingereza kutumu aisee
kuna tatizo gani na sentensi hiyo?Mzee si ungeandika tu kiswahili, mambo ya vingereza yaache maana wanasheria wenyewe wamekikimbia kingereza uje kua wewe unlearned buraza
Kafariki kutokana na ajali ya barabarani.Kuna mijitu ina roho mbaya sana! Kwa hakika ni zaidi sana ya ibilisi.
Vifo hivi vingeweza kuepukika. Yenyewe imeuchuna tu. Kwa sababu haiwahusu.
Iko busy kutengeneza mabarabara ya kusafirishia wafu kwenda kuzikwa.
Kwa hakika ni heri ya Abood anayetoa mabasi ya kubebea waombolezaji!
usikubali mtu yeyote akukatishe tamaa kuongea au kuandika kiingereza. kiingereza ni lugha ya biashara na fursa.kuna tatizo gani na sentensi hiyo?
Grammatically, what is wrong with that sentence? Elimu haina mwishoMzee si ungeandika tu kiswahili, mambo ya vingereza yaache maana wanasheria wenyewe wamekikimbia kingereza uje kua wewe unlearned buraza
Mimi tena ?usikubali mtu yeyote akukatishe tamaa kuongea au kuandika kiingereza. kiingereza ni lugha ya biashara na fursa.
nilidhani ni mwanaume.......Sio he Ni she
Ndio maana wengine tulikuwa hatujui,TBC na wengi ni mafuta na maji.hongera kwa kuichagua TBC inabidi uhamie na TTCLMbota tbc wameonyesha caption ya picha yaka tangu juzi, una uhakika amefariki leo?
He or she, wanachato mpo wengiWas he a verified user? RIP
Ana undugu na familia ya Major Kasubu ( rtd)Mwana JamiiForums mwenzetu Charity Kasubi ametwaliwa.
Taarifa zaidi zinafuata. Marehemu pia alikuwa ni mfanyakazi wa TBC ambako alikuwa akitumika kwenye nafasi ya Uhandisi wa Mawasiliano. Buriani!
Charity amekufa kwa ajali ya gari. [emoji120][emoji120]Mkuu pambana na khali yako,unataka hao watu wafanye nini? Hata ulaya watu wanakufa acha kulaumu watu,fuata kanuni zinazotolewa na serikali yako,acha kulalama hakutakusaidia hata kidogo,kulaumu kutakusabanishia kujenga chuki matokeo yake kinga ya mwili wako itashuka na kuufanya mwili wako kuwa host wa madonjwa ya kubukiza na yasiyo ya kuambukiza
Kama kiingereza kinakupa shida, si uandike kwa kiswahili tu.Was he a verified user? RIP