Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Pole sana kwa husband wake, watoto, mama yake. Jamani kufiwa kunauma uwiiii nakumbuka kifo cha mzee wangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Easy scanking.....sijakusoma kamanda wa anga hapo?
Tunazungumzia msiba wewe unazungumzia kitu gani?
Tuwape pole wafiwa, tuwape pole TBC, tumpe pole bwana ake na watoto kama wapo
What do you know about a point of no return?sijakusoma kamanda wa anga hapo?
Tunazungumzia msiba wewe unazungumzia kitu gani?
Tuwape pole wafiwa, tuwape pole TBC, tumpe pole bwana ake na watoto kama wapo
leave it, ,tuombee wafiwa, familia zao na wapendwa wao.What do you know about a point of no return?
Nyuma yakeMwana JamiiForums mwenzetu Charity Kasubi ametwaliwa.
Taarifa zaidi zinafuata. Marehemu pia alikuwa ni mfanyakazi wa TBC ambako alikuwa akitumika kwenye nafasi ya Uhandisi wa Mawasiliano. Buriani!
Duh!!!Alikuwa anatumia jina gani humu?
Huyu alikuwa anatumia Charity KasubiAlikuwa anatumia jina gani humu?
pole sana kwa mume wake, yni simpatii picha alivyoumizwa, na watoto wake wamebaki bila mama, yani hapo baba inabidi akae na mwanae , amtafutie mama mdogo, means aoe mapema ili apate faraja.Pole sana
ndio wanasema hivyoCharity wa humu humu??[emoji26][emoji26][emoji26]
inasemekana amezaa na mtu, sijui ameolewa maana uki- google utaona harusi yake kwenye SHEREHE ZETU, DSTVMasaibu gani yamemkuta charity, bint mbichi kabisaaa, sijui kama alikuwa ameacha hata kumbukumbu ya mtt.
Wengine wanaweza kusema Mungu alisikia kilio chakoKuna mijitu ina roho mbaya sana! Kwa hakika ni zaidi sana ya ibilisi.
Vifo hivi vingeweza kuepukika. Yenyewe imeuchuna tu. Kwa sababu haiwahusu.
Iko busy kutengeneza mabarabara ya kusafirishia wafu kwenda kuzikwa.
Kwa hakika ni heri ya Abood anayetoa mabasi ya kubebea waombolezaji!
kabisa, unajua duni ina walimwengu na malimwengu.Wengine wanaweza kusema Mungu alisikia kilio chako
Aisee! Waanzilishi wa NYUNGU wameikimbia NYUNGU, wamerudi kwenye tiba zinazokubalika Dunianisubiri zamu. yako sii hutaki nyungu
UbarikiweMkuu napambana kweri kweri. Mimi na wapendwa wangu. Sasa hivi nilipofika nimetambua kuwa ni kila mtu na lwake hakuna cha serikali wala nini:
View attachment 1703775
Kwa vile tumeachana njia panda na asitokee kikaragosi kufuata kodi.
Si walisema kodi watakuja nyumba kwa nyumba? Watanikuta.
Kumbe ndiyo sababu Mwamwindi alichoka.
Tutege masikio. Tutaelewana tu.
Ulaya na kote kwingine watu hawafi kizembe hivi. Huko watu hawafi huku serikali ikiwa busy kuhimiza kusali na miti shamba ya akina "Nhomba Imajamasala" wataalamu wa mazindiko na kusafisha nyota.
Au nasema uongo ndugu zangu?
bi tukinao-ndio alileta usnaii wake yeye na kabudi wamesababisha mpaka mzee wetu kaondoka aisee.Aisee! Waanzilishi wa NYUNGU wameikimbia NYUNGU, wamerudi kwenye tiba zinazokubalika Duniani
Ubarikiwe
pole sana kwa wafiwa .Mwana JamiiForums mwenzetu Charity Kasubi ametwaliwa.
Taarifa zaidi zinafuata. Marehemu pia alikuwa ni mfanyakazi wa TBC ambako alikuwa akitumika kwenye nafasi ya Uhandisi wa Mawasiliano. Buriani!
ndio hao wenzakw watujuze watu hapa na ikiwezekana waweke namba tumchangie huyo aliyeachwa, TBC wafanye changizo kwa yatima aliyeachwa.Masaibu gani yamemkuta charity, bint mbichi kabisaaa, sijui kama alikuwa ameacha hata kumbukumbu ya mtt.