TANZIA Mwana JamiiForums Charity Kasubi afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums Charity Kasubi afariki dunia

Pole sana
pole sana kwa mume wake, yni simpatii picha alivyoumizwa, na watoto wake wamebaki bila mama, yani hapo baba inabidi akae na mwanae , amtafutie mama mdogo, means aoe mapema ili apate faraja.

hili jambo tunasikia tu kwa wenzetu ila aiee ukimuwazia huyo baba aliyeachwa, inasemekana na mume wake yupo TBC, aisee atakuwa na majeraha sana moyoni.
 
Masaibu gani yamemkuta charity, bint mbichi kabisaaa, sijui kama alikuwa ameacha hata kumbukumbu ya mtt.
inasemekana amezaa na mtu, sijui ameolewa maana uki- google utaona harusi yake kwenye SHEREHE ZETU, DSTV
 
Kuna mijitu ina roho mbaya sana! Kwa hakika ni zaidi sana ya ibilisi.

Vifo hivi vingeweza kuepukika. Yenyewe imeuchuna tu. Kwa sababu haiwahusu.

Iko busy kutengeneza mabarabara ya kusafirishia wafu kwenda kuzikwa.

Kwa hakika ni heri ya Abood anayetoa mabasi ya kubebea waombolezaji!
Wengine wanaweza kusema Mungu alisikia kilio chako
 
Wengine wanaweza kusema Mungu alisikia kilio chako
kabisa, unajua duni ina walimwengu na malimwengu.

Tuiombe familia yake.
Tuombee wanaopata ajali na walio mahospitalini.
Kuna watu wanateseka jamani nyie msiongee tu.
 
Mkuu napambana kweri kweri. Mimi na wapendwa wangu. Sasa hivi nilipofika nimetambua kuwa ni kila mtu na lwake hakuna cha serikali wala nini:

View attachment 1703775


Kwa vile tumeachana njia panda na asitokee kikaragosi kufuata kodi.

Si walisema kodi watakuja nyumba kwa nyumba? Watanikuta.

Kumbe ndiyo sababu Mwamwindi alichoka.

Tutege masikio. Tutaelewana tu.

Ulaya na kote kwingine watu hawafi kizembe hivi. Huko watu hawafi huku serikali ikiwa busy kuhimiza kusali na miti shamba ya akina "Nhomba Imajamasala" wataalamu wa mazindiko na kusafisha nyota.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Ubarikiwe
 
Masaibu gani yamemkuta charity, bint mbichi kabisaaa, sijui kama alikuwa ameacha hata kumbukumbu ya mtt.
ndio hao wenzakw watujuze watu hapa na ikiwezekana waweke namba tumchangie huyo aliyeachwa, TBC wafanye changizo kwa yatima aliyeachwa.
 
Back
Top Bottom