TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

Alishaathirika kiakili, alihitaji msaada wa afya ya akili.

Apumzike kwa amani

Alafu nilisahau..na ww ungekuwa msaada sana kumuweka sawa! Ingawa yakwangu nikikueleza unakimbilia oh nenda hosp🤣🤣! Uliniudhi😉
 
Aisee....nadhani Maxence Melo na wenzake wana lakujifunza katika hili, namna ya kuzilinda nyuzi za watu wanaohitaji msaada kama Robin na single mothers. Single mother wanatukanwa sana humu JF lkn hakuna hatua yeyote inachukuliwa na mods


Kuna mtu niliwah mwambia pm..mtu anaanzisha uzi kuwananga single mazaz ..huyo huyo ukimsoma sana anakuambia amelelewa na mama....kama kuna makundi yanafaa kuheshimiwa ni hili jamani!...mie nawajua maarufu wawili kwa kukandia wamama hawa! Automatic nikawachukia!
 
Manengelo hawezi kumtukana, Labda kama alikuwa anampigia akiwa vyombo au ubize kwenye Kazi zake

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app


Mrangi nimewah kukutukana nikiwa vyombo🤣🤣! Hebu kuwa mkweli😆...ulipiga usk kwa namba ngeni nikaask tu kwa ukali ww nan?🤣🤣ukayeya!maana nilikua nishalala...doh! Ww bwana !😅
 
Mrangi nimewah kukutukana nikiwa vyombo[emoji1787][emoji1787]! Hebu kuwa mkweli[emoji38]...ulipiga usk kwa namba ngeni nikaask tu kwa ukali ww nan?[emoji1787][emoji1787]ukayeya!maana nilikua nishalala...doh! Ww bwana ![emoji28]
Hahaha hahaha
Nakumbuka ila kwa sababu mm master muelewa
Nlielewa, siku mind [emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah.. Mungu amsamehe makosa yake. Amrehemu na kumpunzisha anapo paona nafuu kwake...
Bina Shadeeya umeona maisha yalivyo kuwa mafupi..
Nimeona Binamu. Yamebakia majuto tu sasa ambayo yameshakuwa mjukuu.

Pia kupitia huu uzi vipo vingi vya kujifunza Binamu kimojawapo kama uwezo upo wa kusaidia tusaidie kwa wakati na sio mtu ameshakufa ndio tunabakia kwenye ninge..
 
funxoo moja
ogopaaa kujikataaa aijaijalishii unapitiaa wapi KWENYE maishaa usipojikubali sahau kukubalikaa na WENGINE

post NYINGI mkuu alishajikataa n kama ALIKUWA anasubiria TRENI ya arusha ifike na YEYE aanze safari anyway
#APUMZIKE #Anakostahili
Haya mengine guystuyaavje
 
Hapa ndio mzuka unapokata kbsaaa...

Half humu kuna wanarudisha jezi kimya kimya sisi hatujui tunadhani ni U bussy, kumbe Mchwa wanafanya yaoo....

Wote wapumzike kwa amani....

Huyu nae tuwe nae karibuu


Sijawah waza hizi mambo kbsa....
lkn sasa inatishaaaa.....
Mwezi uliyopita classmet wangu nae kajimaliza...

alinitumia tu msg usiku
'.......kwaheri rafk yangu,'.

Asubuh naona msg kupga hapatkani...
Nikajua kaenda mbele kwa trump maana week tatu kabla safar yake ilikua imeiva........

Mchana Dada yake ananipgia simu....
'Wewe ni rafiki wa ......?' nikamwambia 'ndio'
Akaniambia 'hatunaye tena, kajipumzisha mwenyewe'

Nilipigwa ganzi na butwaa moja hatar nilijikuta simu ipo miguuni huku bd ipo hewani...
Kwa yale mawazo ile siku sikutaka hata kuvuka barabara kubwa kbsaaa.....

Sijui nn kilimpataa ghalfa(Sitaki kuamini km ni Majibu ya Vipimo vya HIV ili aende mbele)... nakat Alipata dili moja kali sana la kwenda huko...

Watu wanatembea na sumuuuu......
Tuwe makini na lugha zetu kwa yyt yule....
Haya masuala ya kujutia lugha, mioyo yetu migumu na matendo yetu kwao baada ya tukio NIKUJITAKIA...
Spread love to every creature on your way.....
it might pay you or save them some days...

Sent using Jamii Forums mobile app
WATUWANA MAJIBU YA HIV P+TOKA 2006 NAWAJUA NA WAMO HUMU WANAKULA BATA KAJITANGULIZA MAISHA MWENYEWE
APUMZIKE ANAKOSTAHILI
HAYOYA RI.... WHR YENU
 
JF usipokua na Roho ngumu unaweza ukajiua

Mimi nawalaumu mods. Maxence na wengine. Sawa JF ni platform ilitotengenezwa kwa nia nzuri. Ni sehemu ambayo watu wamepewa uhuru wa kujieleza huku ID zao zikibaki anonymous. Dhamira ilikua ni kuendeleza na kukomaza demokrasia.

Shida inakuja hapa mods wanashindwa ku control contents or hawataki na kuamua kupuuzia ilimradi ku maintain "traffik" Kwenye hii site. JF imetoka kwenye motto yao ya "home of great thinkers" imekua "home of bullies".

Humu ndani kuna makundi ya watu wanakua bullied. Celebrities, politicians,Single mothers, wanawake ambao sio bikra, depressed people wanaokuja kuomba ushauri kwa ku take advantage ya anonymity ya JF kwamba hamna anaewajua humu personally hivyo anaweza kueleza shida zake bila fedheha ya aina yoyote. Cha kushangaza ni kua nyuzi na replies za kebehi na bullying mods hawazitilii maanani wao wanakomaa na "matusi tu". Acheni hizo.

I blame his death on moderators. Sijui ku tag ila ningewatag wote. Acheni double standards, hypocrisy na misogynistic behaviour. Jifunzeni kwa Zuckerberg yeye anajitahidi sites zake ziwe bully free.

Sent using Jamii Forums mobile app
On point

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseeee. Tatizo matapeli watazidi
Na pia hao wanajibebesha mimba wanasemwa ili watu wapunguze jibebesha
Aisee....nadhani Maxence Melo na wenzake wana lakujifunza katika hili, namna ya kuzilinda nyuzi za watu wanaohitaji msaada kama Robin na single mothers. Single mother wanatukanwa sana humu JF lkn hakuna hatua yeyote inachukuliwa na mods

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Kicheko
Reactions: ram
Huna sababu ya kumchukia Mwanadamu mwenzako. Muombee kwa Mungu tu amuongoze katika njia sahihi
Kuna mtu niliwah mwambia pm..mtu anaanzisha uzi kuwananga single mazaz ..huyo huyo ukimsoma sana anakuambia amelelewa na mama....kama kuna makundi yanafaa kuheshimiwa ni hili jamani!...mie nawajua maarufu wawili kwa kukandia wamama hawa! Automatic nikawachukia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom