Tojo
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 1,810
- 3,087
Sorry nlikua niko vyombo mkuu,nikachanganya mada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry nlikua niko vyombo mkuu,nikachanganya mada.
Alishaathirika kiakili, alihitaji msaada wa afya ya akili.
Apumzike kwa amani
Aisee....nadhani Maxence Melo na wenzake wana lakujifunza katika hili, namna ya kuzilinda nyuzi za watu wanaohitaji msaada kama Robin na single mothers. Single mother wanatukanwa sana humu JF lkn hakuna hatua yeyote inachukuliwa na mods
Wewe humjui huyo dada.
Manengelo hawezi kumtukana, Labda kama alikuwa anampigia akiwa vyombo au ubize kwenye Kazi zake
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Peace IPI mkuu ama.lugha ujaielewa
Hahaha hahahaMrangi nimewah kukutukana nikiwa vyombo[emoji1787][emoji1787]! Hebu kuwa mkweli[emoji38]...ulipiga usk kwa namba ngeni nikaask tu kwa ukali ww nan?[emoji1787][emoji1787]ukayeya!maana nilikua nishalala...doh! Ww bwana ![emoji28]
UmetishaRIP Mpauko.. His truly last seen hii hapa... Umegundua nini hapo? Tarehe na mwezi aliyojiunga JF ndio tarehe na mwezi aliyoonekana kwa mara ya mwisho tofauti mwaka tuu...!!! View attachment 1368532
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona Binamu. Yamebakia majuto tu sasa ambayo yameshakuwa mjukuu.Dah.. Mungu amsamehe makosa yake. Amrehemu na kumpunzisha anapo paona nafuu kwake...
Bina Shadeeya umeona maisha yalivyo kuwa mafupi..
Nawengi watarajiwaa wanashindwa tu kutuagaaRIP Mjumbe. Humu kuna member wengi walisharudisha jezi sema tu sisi kujua hamna.
Yaani ni hatari wengine wanaishi jahanamu hapa hapa duniani na wakifa wanaendelea na jahanamuMungu amlaze mahali pema kuna binadamu humu duniani wanaishi jehanamu tayari kwa mateso wanayopitia
R.I.P Brother
Moyo wangu umekuwa mzito sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Urihiissii afandee Kobraa anakuhitaji??!Mrangi nimewah kukutukana nikiwa vyombo🤣🤣! Hebu kuwa mkweli😆...ulipiga usk kwa namba ngeni nikaask tu kwa ukali ww nan?🤣🤣ukayeya!maana nilikua nishalala...doh! Ww bwana !😅
WATUWANA MAJIBU YA HIV P+TOKA 2006 NAWAJUA NA WAMO HUMU WANAKULA BATA KAJITANGULIZA MAISHA MWENYEWEHapa ndio mzuka unapokata kbsaaa...
Half humu kuna wanarudisha jezi kimya kimya sisi hatujui tunadhani ni U bussy, kumbe Mchwa wanafanya yaoo....
Wote wapumzike kwa amani....
Huyu nae tuwe nae karibuu
Watu wote mliojiua nikawasema vibaya naomba mnisamehe sana
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Ndugu zangu naomba kusamehewa sana juu ya ndugu zetu waliojiua ambao mimi nilikuwa nawakejeli sana na kuwaona kama wajinga. Kumbe walikuwa wako sahihi kabisa. Kuna mambo magumu sana ambayo wanadamu tunapitia mpaka unabaki unashangaa hakuna hata...www.jamiiforums.com
Sijawah waza hizi mambo kbsa....
lkn sasa inatishaaaa.....
Mwezi uliyopita classmet wangu nae kajimaliza...
alinitumia tu msg usiku
'.......kwaheri rafk yangu,'.
Asubuh naona msg kupga hapatkani...
Nikajua kaenda mbele kwa trump maana week tatu kabla safar yake ilikua imeiva........
Mchana Dada yake ananipgia simu....
'Wewe ni rafiki wa ......?' nikamwambia 'ndio'
Akaniambia 'hatunaye tena, kajipumzisha mwenyewe'
Nilipigwa ganzi na butwaa moja hatar nilijikuta simu ipo miguuni huku bd ipo hewani...
Kwa yale mawazo ile siku sikutaka hata kuvuka barabara kubwa kbsaaa.....
Sijui nn kilimpataa ghalfa(Sitaki kuamini km ni Majibu ya Vipimo vya HIV ili aende mbele)... nakat Alipata dili moja kali sana la kwenda huko...
Watu wanatembea na sumuuuu......
Tuwe makini na lugha zetu kwa yyt yule....
Haya masuala ya kujutia lugha, mioyo yetu migumu na matendo yetu kwao baada ya tukio NIKUJITAKIA...
Spread love to every creature on your way.....
it might pay you or save them some days...
Sent using Jamii Forums mobile app
On pointJF usipokua na Roho ngumu unaweza ukajiua
Mimi nawalaumu mods. Maxence na wengine. Sawa JF ni platform ilitotengenezwa kwa nia nzuri. Ni sehemu ambayo watu wamepewa uhuru wa kujieleza huku ID zao zikibaki anonymous. Dhamira ilikua ni kuendeleza na kukomaza demokrasia.
Shida inakuja hapa mods wanashindwa ku control contents or hawataki na kuamua kupuuzia ilimradi ku maintain "traffik" Kwenye hii site. JF imetoka kwenye motto yao ya "home of great thinkers" imekua "home of bullies".
Humu ndani kuna makundi ya watu wanakua bullied. Celebrities, politicians,Single mothers, wanawake ambao sio bikra, depressed people wanaokuja kuomba ushauri kwa ku take advantage ya anonymity ya JF kwamba hamna anaewajua humu personally hivyo anaweza kueleza shida zake bila fedheha ya aina yoyote. Cha kushangaza ni kua nyuzi na replies za kebehi na bullying mods hawazitilii maanani wao wanakomaa na "matusi tu". Acheni hizo.
I blame his death on moderators. Sijui ku tag ila ningewatag wote. Acheni double standards, hypocrisy na misogynistic behaviour. Jifunzeni kwa Zuckerberg yeye anajitahidi sites zake ziwe bully free.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupitia huu mkasa wa ndugu yetu aliyetangulia mbele ya haki kuna haja ya moderators kufanya namna ya ku deal na bullies
Bullies zinaharibu saikolojia ya mtu, mtu anakuwa wa tofauti kabisa, mods please lifanyieni kazi hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee....nadhani Maxence Melo na wenzake wana lakujifunza katika hili, namna ya kuzilinda nyuzi za watu wanaohitaji msaada kama Robin na single mothers. Single mother wanatukanwa sana humu JF lkn hakuna hatua yeyote inachukuliwa na mods
Kuna mtu niliwah mwambia pm..mtu anaanzisha uzi kuwananga single mazaz ..huyo huyo ukimsoma sana anakuambia amelelewa na mama....kama kuna makundi yanafaa kuheshimiwa ni hili jamani!...mie nawajua maarufu wawili kwa kukandia wamama hawa! Automatic nikawachukia!