Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Nimerumiwa pm comments zake..na hii ni 2nd tym..kuna kipindi nilipigwa ban ...kuna mchizi akaniambia naja naja anasema umekula hela zake...sikuuona huo uzi...! Haya yaishe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi nimeshangazwa sana sana na comments zake! Ni kweli nilikua na mjadala mrefu na wewe, na baadae nikawasiliana na Maxence Melo juu ya jambo hili, kwa bahati nzuri akanieleza na Mimi nikamhakikishia kuwa wewe Naja naja ni kweli ni mhitaji ndio uzi wako ukawekwa hewani baada ya kufutwa.Naja naja nimetumiwa pm kuwa umesema nilikutapeli...sasa sion hata hyo comments .hebu uwe mkwel...uliandika uzi mods wakafuta....then ushimen akanichek nikamwambia huyu dogo anahitaj msaada..akasema yy ataandika uzi...two day ikawa kimya...nikawasiliana na Elli...nikamwwleza..yy ndo akaamua kwenda far ahead akawasiliana na maxence..na muda wote huo mm ww eli tunawasiliana...max akakupa go ahead ukanionyesha...
Kuna mtu akaweka namba yake kw michango...bahat nzur kun mtu yuko china akaniambia manengel sipend kichangia ila kwajili umehakikisha huyu dogo anahtaj msaada bas nikirudi dec ntachangia..nikamshukuru...na kuna mdhamini mwingine alijiotela kukupa hela yotwe nikakuambia pm...after 4dys jamaa akapata ajali mwanaye akavunjika mguu nikakuambia...! Nadhan tuliishia hapo..sasa mm utapeli wangu umetokea wap? Mbona kila kitu ulikua unanieleza nakuelewq? Hata km hukupata lakini uwe mkwel...mm siwez weka namba yangu ichangwe hata laki niile...kama kuna mtu humu alituma hela ya mchango ajitokeze aweke muamala hapa!
Asante uliyenitumia comment wasap!..kweli dunia hadaa!🙌🙌
Single mothers za kujitakia ili mwanamama apate nafasi ya kudanga zinalaaniwa na wengi! Ni upotofu katika kiwango cha juu. Na mbaya zaidi wengi wanaiga tu bila kujua yanayokuja mbele. Siku zote u-single parent (siyo u-single mother tu) ni kitu ambacho kinatakiwa kiepukwe kwa bidii zote.Sijui
I think now Max was right! Dogo amtake radhi huyu Dada wa watu aiseee. Duh ni last week tu tulikua tunaulizana jinsi ya kukupa chochote tulifikia mahali tukataka hata tukope kwa ajili yako Leo wewe ndio wa kusema hivi?Nimerumiwa pm comments zake..na hii ni 2nd tym..kuna kipindi nilipigwa ban ...kuna mchizi akaniambia naja naja anasema umekula hela zake...sikuuona huo uzi...! Haya yaishe!
I think now Max was right! Dogo amtake radhi huyu Dada wa watu aiseee. Duh ni last week tu tulikua tunaulizana jinsi ya kukupa chochote tulifikia mahali tukataka hata tukope kwa ajili yako Leo wewe ndio wa kusema hivi?
Binafsi nimeshangazwa sana sana na comments zake! Ni kweli nilikua na mjadala mrefu na wewe, na baadae nikawasiliana na Maxence Melo juu ya jambo hili, kwa bahati nzuri akanieleza na Mimi nikamhakikishia kuwa wewe Naja naja ni kweli ni mhitaji ndio uzi wako ukawekwa hewani baada ya kufutwa.
Ilifika mahali Dada Huyu tuliamua tutoe pesa zetu wenyewe tukupatie lakini mambo ya kifamilia yakawa mengi including Huyu Dada wa watu kupata msiba kwao Mwanza. Ulitaka afanyeje ili umuamini??
Ulishindwaje kumuuliza hata inbox kile kilichotokea? Baada ya kuona jambo hili hapa nimempigia Max na nimemweleza kila kitu. Nyie ndio mnaofanya next time iwe ngumu kuwasaidia wengine. Mbona tunasaidiana sana? Ikitokea imeshindikana kufikia malengo yetu tusiwachafulie majina wengine.
Why umtaje huyu Dada tu na sio Mimi?? I am the one who organized everything ikiwa ni pamoja na kumshawishi Max.
Pole sana Dada. Mungu atakulipia.
Ndio baadhi ya binadam broI think now Max was right! Dogo amtake radhi huyu Dada wa watu aiseee. Duh ni last week tu tulikua tunaulizana jinsi ya kukupa chochote tulifikia mahali tukataka hata tukope kwa ajili yako Leo wewe ndio wa kusema hivi?
Najua hata wewe hukuwahi kujua niliwasiliana na Max kwa ajili yake, zaidi ya kukupa feedback tu, lengo lilikua ni kulinda privacy yake lakini kwa kuwa hana busara basi. Naja naja naweka screenshots za Pm zangu na Max, je uliwahi kujua kuwa Elli alifanya Haya? Sikuwahi kusema kwa MTU hata siku moja kwajili ya heshima but kwa ujinga huu, umenikera sana.Najuta best!
I think now Max was right! Dogo amtake radhi huyu Dada wa watu aiseee. Duh ni last week tu tulikua tunaulizana jinsi ya kukupa chochote tulifikia mahali tukataka hata tukope kwa ajili yako Leo wewe ndio wa kusema hivi?
Msijute.Najuta best!
Mna mioyo ya huruma ,Mungu awabariki Sana.Najua hata wewe hukuwahi kujua niliwasiliana na Max kwa ajili yake, zaidi ya kukupa feedback tu, lengo lilikua ni kulinda privacy yake lakini kwa kuwa hana busara basi. Naja naja naweka screenshots za Pm zangu na Max, je uliwahi kujua kuwa Elli alifanya Haya? Sikuwahi kusema kwa MTU hata siku moja kwajili ya heshima but kwa ujinga huu, umenikera sana.
Msijute.
Tenda wema nendeni zenu.
Kuna Watu Ni kweli Wana matatizo lakini hawana busara kabisa.
Mimi yalishawahi kunikuta..nimesaidia mtu ikafika kipindi nikawa sina hela hata ya kula kisa kusaidia mtu..akawa ameweka Kama Sheria,Kuna siku anaanza kunigombeza.
Mara nikaona anaenda mbali zaidi kutaka kuvuruga mahusiano yangu.
Yaani alikuwa mtu Baki tu,amenifahamu kupitia rafiki yangu ambaye Ni school mate wangu..hajawahi hata kuniona.
Ila nikajitia mama huruma.
Msiache kusaidia wahitaji,ila pale unapoona anakukosea adabu mwambie ukweli.
Yeye si malaika kwamba kila kitu yupo sawa na uhitaji wake isiwe kigezo Cha kumuogopa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mna mioyo ya huruma ,Mungu awabariki Sana.
Mimi huyu uzi wake nilisoma,yawezekana kweli Ni muhitaji ila naona Kama hakuwa na busara katika kuwasalisha shida zake.
Ni mtazamo tu
All in all hakuna aliyekamilika.
Samehe na msiache kusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hivyo mkuu.
NdiyoUzi wa kwanza alichamba balaa...mie nikamuona anastress nikaelewa situationyake....na kunakipindi alimsema had dadake nikamwambia msahau na msamehe...ss mm ni nani nisisemwe!..ila nimejifunza...!
Ndiyo
Hata Mimi niliona jinsi anavyochamba Watu.
Nikabaki nashangaa tu.
Huyu mwingine alikuwa mpole na mvumilivu katika kuwasilisha maombi yake na kuwajibu Watu.
Maskini dada wa Watu,ukajitoa..si ajabu unaforgone vitu vyako vingine ili tu usaidie lakini Kuna Watu huwa hawana shukrani jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika.Huyu wa china nitamuonesha ...maana aliahidi....huyu alovunjikiwa mtoto anaona kinachoongelewa! Yaan..kh[emoji28][emoji28]!yaishe lil sisy ! Mie sina kinyongo naye .hyo situation naijua....!ila asipobadilika atashindwa ishi na watu ..hii naisema kabisa..
Mimi Kuna muda nyumbani wananiambia kwamba wewe hela unafanyia Nini?
Unakuta nimeweka ka akiba kangu baada ya muda nawaambia nitumie.
Hapo naishia tu kutoa..sometimes naweza jinyima hata nikala buku tu usiku ili mradi nisaidie mtu.
Yule rafiki alinizoea vibaya..last week nimeweka status Tena za msiba..akafika na kukoment "Anne zawadi yangu"
Kisa nilimuwish bday yake,nikamwambia Mungu akijaalia tutakupa zawadi.
Angejua Mimi mwenyewe Nina shida..mtu kukusaidia si kwamba yeye Hana shida,Basi tu moyo wa huruma.
Usichoke kusaidia ila jifunze kuwa na kiasi.
Mtu anapovuka mipaka na kukukosea mwambie ukweli hapo hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Status ya msiba halafu?? NingemblockMimi Kuna muda nyumbani wananiambia kwamba wewe hela unafanyia Nini?
Unakuta nimeweka ka akiba kangu baada ya muda nawaambia nitumie.
Hapo naishia tu kutoa..sometimes naweza jinyima hata nikala buku tu usiku ili mradi nisaidie mtu.
Yule rafiki alinizoea vibaya..last week nimeweka status Tena za msiba..akafika na kukoment "Anne zawadi yangu"
Kisa nilimuwish bday yake,nikamwambia Mungu akijaalia tutakupa zawadi.
Angejua Mimi mwenyewe Nina shida..mtu kukusaidia si kwamba yeye Hana shida,Basi tu moyo wa huruma.
Usichoke kusaidia ila jifunze kuwa na kiasi.
Mtu anapovuka mipaka na kukukosea mwambie ukweli hapo hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angefungua I'd mpya mngedai I'd ya zamani binadamu hamtabiriki. Kwenye moja ya thread zake alitaja majina yake, namba ya simu na jina la chuo alichosoma....mlitaka utambulisho gani mwingine?
Sent using Jamii Forums mobile app