Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,537
- 3,873
Kwa maelezo ya marehemu mwenyewe kabla hajafa, aliwahi sema anadaiwa ada Mil 1.6 ili apewe cheti chake cha ualimu.Hamna msaada wa haraka tunahitaji watanzania Kama msaada wa akili....wengi sana wanakufa na stress
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wana ubaguzi balaaAisee nimejikuta natiririka machozi mengi sana [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nimechelewa kunua habari zake. Ni leo ndiyo nakutana na huu uzi. Nimeumia sana moyo wangu. Nimelia sana kidume mimi. Nimechukizwa sana na baadhi ya members washenzi waliomdhihaki. Alikua mdogo sana kwa kweli. Nimeumia sana. Ningemjua ningeweza kum-refer taasisi fulani ya waitaliano wana dhima ya kuwasaidia wenye ulemavu kupata kazi rasmi kwa kushirikiana na watu wa Radar recruitment agency. Nimeumia sana [emoji24][emoji24]
Mtu anamiliki infinix note 8 alafu anajiua maisha magumu? Mnautani nyieNew update
Mdogowe anasema kaka yake alikuwa na simu 2 .moja ni infinix note 8 lite ambayo haionekani wakati siku chache tu aliahidi kumpa moja.
Halafu hii iliyobaki wameikuta haina hata app 1.
Walikuta msg chache tu kwenye line ya voda
Kama alipewa and he kept it as a souvenir? Kwani mtu akiwa na matatizo hapaswi kumiliki vitu vizuri? Kuuza vitu vyako sio suluhu ya ufumbuzi wa kudumu wa maisha. Give yourself time soma vema word-to-word nyuzi zake kisha utapata kitu.Mtu anamiliki infinix note 8 alafu anajiua maisha magumu? Mnautani nyie
Sijui nimeongea kisukuma. Kuna sehemu nimeonesha kushangaa?Wewe ulikaa nayo kwa miezi miwili lakini unamshangaa aliyekwisha kaa na simu ya ndugu yake kwa mwezi mmoja tu!
Huyu Hazchem plate kwakweli aje tu aseme chochote maana nimesoma post zake huko nyuma kwakweli alimdhihaki sana jamaa, too bad nimejiskia vibaya kweli kweliKuna uzi mmoja aliuanzisha, member Hazchem plate alikua anamdhihaki kweli.
Mungu wangu!!!!
Huyu member alikuwa kweli ana matatizo ya kusikia.
Na kuna rafiki humu alikuwa anamuunganishia kazi ya ualimu akamsafirisha toka mkoani mpaka alipokuwa rafiki akafanya interview.
Lakini yule rafiki akaniambia jamaa ni shida sana kuongea nae na kufundisha itakuwa ngumu lakini akampa nauli na kumuahidi shule ikifunguliwa basi itabidi aje wampe probation kama ya mwezu kuona kama ataweza lakini kama asipoweza atamsaidia kivingine hapa sikumbuki alisema hearing aids au sijui nini sikumbuki kwa kweli
Kiukweli sijui ni nini nikajikuta namshawishi yule rafiki ampe nafasi kwani hata mimi nilifundishwa na mwalimu kipofu Advance level na ni mwalinu pekee aliyekuwa anasikilizwa na wanafunzi akaeleweka, ni mwalimu bora kabisa.
Rafiki yule alikuwa busy busy nami busy sana basi hatukuongelea ishu ya huyu mpaka sasa.
Mda huu ninaona hapa amejiua.
Aiseeee nimesikitika sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninayo hiyo namba imefungiwa ,Kuna namba yake moja ya Zantel ile nadhani alikua anawasiliana nami WhatsApp but sina uhakika sana kama ndo yenyewe ambayo iko kwenye baadhi ya moja ya nyuzi zake.
Kwangu ilifutika sababu sikua nimeisave na simu ikafuta messages kabla sijamjibu. Nitajaribu kumtafuta kesho nione ukweli wa hii taarifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliandika hivi:Sijui nimeongea kisukuma. Kuna sehemu nimeonesha kushangaa?
Mi nimemwambia inavowezekana na nikampa mfano ilivokuwa kwangu afu wewe unanambia nashangaa. Kutoa ushuhuda ni kushangaa?