RIP. Dena Amsi.
Poleni Ndugu, Jamaa na Marafiki kwa msiba huu mzito kwenu na hata kwa JamiiForums. Michango yake kwa JamiiForums ulikuwa mkubwa. Hakika Ndugu wamempoteza mtu muhimu, JamiiForums imepoteza mtu mtu muhimu.
Mavumbini tumetoka, mavumbuni tutarejea.