kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,340
- 12,055
Utakuta hata walau mtu mmoja anaijua ID yakeHuwa najiuliza,hivi ni nani anatoa taarifa za msiba wa mwana JF,huwa anajuaje kuwa huyu ni member,maana mimi nikimaliza kuchat tu nasign out.
Au huwa anaacha bila kusign out na ndiyo njia pekee mtu anaweza kuona ID japo bila password.