Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaweza kupata Picha yake na Maelezo au Historia yake pamoja na ugonjwa wake japo kwa ufupi ili tumjue??
RIP D.A.
Amina!!duh! hata mwezi haujaisha tumepga story sana tu leo ndo napata hizi taarifa,hakika binadamu wote tutaonja mauti.Mungu akulaze mahala pema peponi amen
Always Mungu anatenda haki tumombe kwa wema wake apumzishe kwa amani mahali pemaMungu amtendee haki!
Sawa,Yeye mwenyewe hakupenda hayo yote yajulikane ndani ya JF, na mara nyingi ndani ya JF huwa ianabaki hivyo, labda kama ukienda kwenye msiba na wakatangaza wasifu wake na pia kutajwa jina lake
RIP DA
Khe we nae bana... unaongelea kuenjoy wakati wenzio tunahuzunika [emoji57] [emoji57] [emoji57]Mkaenjoy... hongereni.
Hakuna ubaya kuanika utambulisho wake kwa sababu kwa sasa hatunae tena pia inasaidia kuweka historia yake sawa kwa wasiomfahamu!RIP DA.
Wanaotaka picha yake, itakua ni kuanika utambulisho wake. Picha itapelekea jina na mengine ya binafsi kujulikana.
Kwa kua alitumia ID siku zote na hakuwahi kuweka picha, sio busara kuyaweka hapa.
Binafsi nilimfahamu (hata picha ninayo), ila tuheshimu privacy yake.
Sad to loose a friend.
Kifo ni ibada Passion Lady , Wagonjwa ndio wa kuwasikitikia due to pain. Life is too short... Tupo kwenye njia moja.Khe we nae bana... unaongelea kuenjoy wakati wenzio tunahuzunika [emoji57] [emoji57] [emoji57]