TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

Wewe na Kiranga ni watoto wa baba mmoja ?
 
nimepitia thread zake nimejikuta nalia tu jamani thread zake zote sijaona.mbaya hata moja
alikuwa ametukuka hapa jf
daaah rip
Punguza kulia.

Na ujitahidi kumfanyia Maombi
 
Wewe na Kiranga ni watoto wa baba mmoja ?
Ingawa hujaniuliza mimi lakini nachoweza kusema kwa uhakika wa kiasi kikubwa, huyo si Kiranga.

Labda kama ungemwuliza yeye na Kuhani, Kuhani Mkuu, Bu'Yaka, na Kwameh ni ndugu? Ni watoto wa baba mmoja? Hapo walau kidogo swali lako lingeukaribia uhalisia.

Wengine tushamzoea na hayo mazoea yake ya kuanzisha tahanani hata pasipostahili.

Baada ya hayo niseme tu kuwa nimesikitika mno kumpoteza rafiki.

Apumzike kwa raha tele na amani bwerere huko aliko. Nitamkumbuka saaaaaaaaaana.
 
Wakati mwingne ata ukikaa myaa napo unaeleweka..sio lazma uchangie post yoyte
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…