HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,563
- 48,223
AAMIINHatukuwahi kukutana DA lakini tumekuwa pamoja humu kwa muda mrefu sasa, nimesikitika. May Allah forgive your sins and grant you Jannah.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AAMIINHatukuwahi kukutana DA lakini tumekuwa pamoja humu kwa muda mrefu sasa, nimesikitika. May Allah forgive your sins and grant you Jannah.
HakikaNjia yetu sote poleni wafiwa na jf kwa ujumla
AAMIINAllah amrehemu.
AAMINMungu ampunguzie adhabu za kaburi
AMENMwenyezi Mungu akujalie pumziko la milele
AMENraha ya milele umpe BWANA na mwanga wa milele umwangazie..amina
AAMINMungu akusamehe na akurehemu Dena!
Wewe na Kiranga ni watoto wa baba mmoja ?Mimi sio Mswahili mwenzenu, mwenzenu wewe na nani? Jiongelee mwenyewe! Usibane wigo wa msiba kwamba ni wako wewe Mswahili tu!
Halafu wewe huwezi kutathmini ufasaha wa Kiswahili ninachoandika mimi na kunipa sifa, kwa sababu wewe mwenyewe chako kimepinda! Lakini hiyo si mada ya leo.
Unasema msibani watu hujua legacy ya marehemu kwa kupiga soga hapa na pale, kwa hiyo kumbe "legacy ya marehemu" kitu hicho kipo na hujulikana, hata misiba ya Kiswahili.
Sasa hapa kuna kurasa zaenda hamsini tumejaza marudio ya RIP Dena Amsi, Inna Lillahi wa Inna, Bwana amempenda zaidi kamuua, pole sana tunakukumbaka... tunakukumbuka kwa lipi? Hakuna anaejua!
Halafu kwenye misiba, iwe ya Kiswahili au ya Ki-Spanish, kuna mtu anasimama rasmi anamuongelea marehemu kirefu, na wengine husoma eulogy kujaribu kueleza legacy ya marehemu. Usinambie ni kukutana kupiga soga, kupiga mayowe ya vilio, kuzika, kurudi kula ubwabwa, kuondoka! Mswahili wa wapi wewe?
Dunia imebadilika siku hizi, huyu Dena ambae kurasa hamsini hakuna anaemkumbukia kwa lolote tusije kuwa mithili ya waombolezaji wa kukodishwa.
Hapana ahsante, mimi nikifa msijaze kurasa ndeeefu za R.I.P na kariri za Inna Lillahi wa Inna na Bwana ametoa Bwana ametwaa kwa kumpiga limkuki la mdomo kwenye bifu na wafugaji.... no, spare me with the superstitious horse dang please kama hakutakuwa na cha mno nilichokiachia legacy zaidi ya "alikuwa mwanajamii mwenzetu..."
Punguza kulia.nimepitia thread zake nimejikuta nalia tu jamani thread zake zote sijaona.mbaya hata moja
alikuwa ametukuka hapa jf
daaah rip
Ingawa hujaniuliza mimi lakini nachoweza kusema kwa uhakika wa kiasi kikubwa, huyo si Kiranga.Wewe na Kiranga ni watoto wa baba mmoja ?
Wakati mwingne ata ukikaa myaa napo unaeleweka..sio lazma uchangie post yoytenimeandika posti mbili ndefu nikianisha swali langu, kama hujanielewa sidhani kama kuna jinsi ya kuiweka vingine.
Legacy ningeiweka kwa muktadha wa nyinyi Waswahili ningeeleweka?
Kwa hiyo huu msiba wawahusu Waswahili tu? Nitaiwekaje legacy kwenye muktadha wa legacy za Kiswahili kama labda mimi sio Mswahili?
Waswahili kuhuzunika msibani ni jambo la kawaida na kama sijahuzunika msiba haunihusu. Kwa hiyo huu ni msiba wa Kiswahili mimi siwezi kuulewa, sio?
Msiba wa Kiswahili ni kwamba hauna mambo ya kueleza kuhusu legacy za marehemu, tunamkumbukia nini marehemu, ni tunalia weee, tunazika, tunakula ubwabwa, tunajaza ma pages ya R.I.P, tuna move forward!
Sawa ndugu, labda sintakaa nikaelewa misiba ya Kiswahili!
Bwana ametoa na bwana ametwaa,
Pumzika kwa amani DENA.
DUHRIP Dema. Mungu amlipe anachostahili.
AAMINHabari za kusikitisha sana.
Ulale mahali pema peponi, Dena!
HakikaPumzika kwa amani D. A. mbele yetu Nyuma yako
Jamani.Aisee poleni sana.huyu ni moja ya wakongwe walionipokea hapa JF mapema November 2010
Hakika huu ni Msiba mzito sanaR.i.p Dena ... Msiba mzito mnoo kwa familia nzima ya JF.