Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,991
anazingua huyuMkuu kwanini ukereke kwa kitu ambacho hakikupunguzii chochote kwenye maisha yako ya kila siku!? Haya "makurasa mengi" hapa yanakupunguzia nini wewe!?
Acha hizo Mkuu kama huna la maana la kuandika kufuatia kifo cha huyu mwenzetu pita kimya kimya.