TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

RIP Dena.
Wekeni basi picha yake ya kiukweliukweli.
Wengi humu twajuana kwa utambulisho bandia tu, hivyo picha si muhimu sana labda kujua humu alikuwa akitumia jina gani? Mleta ujumbe bilashaka alikuwa mtu wa karibu na marehemu. Pumzika kwa amani Dena
 
rest-in-peace-pictures.jpg
f8124ae712bdca2dc76b5a80440788a0.jpg
f8124ae712bdca2dc76b5a80440788a0.jpg
 
Nimeweza kupata details za mpendwa wetu Dena Amsi kwa mtu wa karibu ana ambaye aliweza kuhudhuria mazishi yake. Dena (Leah F. Komba) alikuwa mdada mwenye kujituma sana na aliweza hata kupata kazi nchini Kenya (akihama taasisi kubwa Tanzania alipofanya zaidi ya miaka 7). Kenya alifanya kazi kwa miaka 3 na miezi kadhaa kabla hajarudi Tanzania na kuajiriwa tena na taasisi moja ya habari Tanzania mpaka umauti ulipomfika. Mungu anaufahamu ukweli wa afya yake mpaka anafariki. Poleni sana ndugu na jamaa na mwanaye wa kiume ambaye atakuwa kwenye 20 years or a bit less (mvulana). Rest in Peace Leah.
 
RIP Dena Amsi. Mwenyezi Mungu akupe pumziko la milele. Amina. Nime visit Facebook wall yake but sijaona post yoyote except picha ambayo inatumika kama Avatar yake. Nilichogundua ni kuwa address yake ni Gisenyi Nchini Rwanda na kuna watu wawili ambao nahisi alikuwa na undugu nao (1) Philemon Amsi (2) Amsi Slaa. Maybe huyo wa kwanza anaweza kuwa ndugu yake. Kwa upande wa huyo philemon Amsi, mara ya mwisho ku post kwenye wall yake ni mwaka 2013, so kuna maswali mengi kuliko majibu. Tukesheni tukiomba, kwani hatujui muda wala saa, Pumzika kwa Amani-DA
Huyo ni mtu mwingine
Aaaaaaamen
 
Rest in Peace Dena Amsi. Ulikuwa mkarimu na mtu wa msaada.

Nakumbuka nilipojiunga na JF ulikuwa mtu wa kwanza kabisa kunitumia PM.

Nilianzisha uzi kuhusu kuwa "Premium Member" nikaishia kupewa majibu yasiyo na mshiko.

Lakini wewe ulinitumia PM ukanifafanulia maana na jinsi ya kuwa "Premium Member".

I will treasure that PM kukumbuka.
 
Tindikali

Hakuna Mtu akafariki na hajaacha legacy.


Anhaa, okay, hakuna mtu akafariki hajaacha legacy.

Waswahili pia kumbe hata nyinyi mnaacha legacy.

Basi nhabarishe tafadhali, legacy ya Dena Amsi ni nini?

Unatafuta umaarufu kwa falsafa za kijinga sio?

utakuwaje maarufu mtu unaongoza jamvi kwa kutukanwa?

mchangiaji mmoja humu amenukuu andiko langu chini yake akaandika "mavi..."

Kwa hiyo uwe na amani kuu, siwezi kuwa maarufu kwa "falsafa za kijinga." Ni kwamba nilishangaa tu vichwa vya watu mia kidogo vinarudia kurasa 50 za pole, RIP, Mungu Katwaa, Inna Lillahi, hakuna anaekumbuka Dena Amsi ana legacy gani.

Acha hizo Mkuu kama huna la maana la kuandika kufuatia kifo cha huyu mwenzetu pita kimya kimya.

kwa nini unakereka na posti yangu ambayo haikupunguzii lolote maishani? Umesema mwenyewe nilichoandika hakina maana, basi ungekipita kimya kimya tu...

Wewe kwako la maana ni pole na RIP, huo ni muono wako wewe, usikanyage muono wangu mimi niliyetaka kujua Dena kaacha legacy gani. Jamani, tujifunze ku ignore mawazo unayoona hayana maana kwako.
 
Anhaa, okay, hakuna mtu akafariki hajaacha legacy.

Waswahili pia kumbe mnaacha legacy na nyinyi.

Basi nhabarishe tafadhali, legacy ya Dena Amsi nini jamvini hapa?




utakuwaje maarufu na unaongoza jamvi kwa kutukanwa?

mchangiaji mmoja humu amenukuu andiko langu chini yake akaandika "mavi..."

Kwa hiyo uwe na amani kuu, siwezi kuwa maarufu kwa "falsafa za kijinga." Ni kwamba nilishangaa tu vichwa vya watu ma-mia vinarudia kurasa 50 za yale yale ya pole, RIP, Mungu Katwaa, Inna Lillahi, hakuna anaekumbuka Dena Amsi ana legacy gani.




kwa nini unakereka na posti yangu ambayo haikupunguzii lolote maishani? Umesema mwenyewe nilichoandika hakina maana, basi ungekipita kimya kimya tu... Tujifunze ku ignore mawazo unayoona hayana maana kwako.
Hiv kwa nn wewe kila sehemu unachafua hewa??? Au ndo u muchknow saaana....acha ulopokaji mkuu hizo itkadi za jinsia nyingne ile...
 
Back
Top Bottom