TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

Loeli vipi nadhani mwanzo watu walieleweka kuficha privacy ya mtu wewe umechunguza na kuamua kuanika... Humu kuna walioshiriki msiba na mazishi kuna ndugu na jamaa... Walielewa umewahi sana... Inaweza kuwa umeguswa kama sisi ila Mdogo Mdogo me natamani hata tuwape familia rambirambi
Hapana Mkuu. Tayari walishalitaja jina lake hapa JF kabla ya mimi. Mimi nikafanya jitihada za kufuatilia zaidi ili nimfahamu. Cha msingi sioni sababu ya kuficha jina la member kama ameshafariki kwa kuwa hakuna wa kuweza kumfuatilia tena kwa mambo yake hata kama alikuwa anti-christ anabaki kuwa hivyo tu.
 
RIP dena, nimehuzunika sana. Nataman tungeweza kuonana kabla ya hili. Ulikuwa mtu mzuri sana kwangu na sitokusahau
 
Duh umenishtua sana kumbe Dena Amsi ndio Leah Komba
Binafsi namfahamu marehemu (Leah Komba) nimewahi kufanya field ofisi ambayo alikuwa anafanya kazi na nimewahi kumfanyia kazi zake nyingi nakumbuka mara ya mwisho tuliwasiliana alipata kazi Kenya akahamia Nairobi
Pumzika kwa amani Leah
Hivi MTU ni marehemu kuweka taarifa zake shida nini?
Kanza ili akumbukwe vema inatakiwa taarifa sake ziwe wazi ili watu waguswe zaidi...
 
Hivi MTU ni marehemu kuweka taarifa zake shida nini?
Kanza ili akumbukwe vema inatakiwa taarifa sake ziwe wazi ili watu waguswe zaidi...
Baada ya kuona jina nimekwenda Facebook kuangalia..nimekuta hii picha..(r.i.p Leah)
..Nadhani ndio yeye.
38e88cc5265ea871cea4e3e65becda1a.jpg
 
Baada ya kuona jina nimekwenda Facebook kuangalia..nimekuta hii picha..(r.i.p Leah)
..Nadhani ndio yeye.
38e88cc5265ea871cea4e3e65becda1a.jpg
Heeh huyu mbona namfahamu...amewahi kuwa mfanyakazi wa Shirika moja kubwa la sirikali la maw......
 
Hapana Mkuu. Tayari walishalitaja jina lake hapa JF kabla ya mimi. Mimi nikafanya jitihada za kufuatilia zaidi ili nimfahamu. Cha msingi sioni sababu ya kuficha jina la member kama ameshafariki kwa kuwa hakuna wa kuweza kumfuatilia tena kwa mambo yake hata kama alikuwa anti-christ anabaki kuwa hivyo tu.
I see
 
Back
Top Bottom