TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

Hata Mimi nitakufa ila wewe Dena umetangulia...
Hata mimi Mungu ananipenda ila were ndio umetangulia...
R.I.p
 
Kilicho fanyika hapa si sahihi hata kidogo na hatuja mtendea haki dada Dena!
Yaani baadhi ya members waanika jina lake ubin wake na wengine wanaleta hata picha zake humu jamvin kitu ambacho Dena mwenyewe hakuthubutu kukifanya, kwa kweli tumemkosea sana yaani tumeshindwa hata kuheshi privacy yake, lawama zangu nazielekeza kwenu ninyi mlio amua kumuanika, kwani mngekaa kimya mngepungukiwa nini?
 
Ndio huyo mkuu
Dah nasikitika nilipomaliza kazi nilikuwa niko nayo nkaondoka kanipa namba ya simu haikuwahi patikana nikaifuta...I wish unipe namba yake dah...
Dah she was very very......[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Hapana Mkuu. Tayari walishalitaja jina lake hapa JF kabla ya mimi. Mimi nikafanya jitihada za kufuatilia zaidi ili nimfahamu. Cha msingi sioni sababu ya kuficha jina la member kama ameshafariki kwa kuwa hakuna wa kuweza kumfuatilia tena kwa mambo yake hata kama alikuwa anti-christ anabaki kuwa hivyo tu.
Aliyoyasimamia akiwa incognito yanaweza sababisha balaaa kwa waliobaki hai wanaomuhusu.
 
Kilicho fanyika hapa si sahihi hata kidogo na hatuja mtendea haki dada Dena!
Yaani baadhi ya members waanika jina lake ubin wake na wengine wanaleta hata picha zake humu jamvin kitu ambacho Dena mwenyewe hakuthubutu kukifanya, kwa kweli tumemkosea sana yaani tumeshindwa hata kuheshi privacy yake, lawama zangu nazielekeza kwenu ninyi mlio amua kumuanika, kwani mngekaa kimya mngepungukiwa nini?
Kweli kabisa. Maadamu mtu hakutumia jina lake rasmi basi hata akifa aachwe hivyohivyo. Kuna madhara mengi tu watu hawaoni haraka
 
Dah nasikitika nilipomaliza kazi nilikuwa niko nayo nkaondoka kanipa namba ya simu haikuwahi patikana nikaifuta...I wish unipe namba yake dah...
Dah she was very very......[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Namba yake sina
 
Back
Top Bottom