TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

Mkuu kwanini ukereke kwa kitu ambacho hakikupunguzii chochote kwenye maisha yako ya kila siku!? Haya "makurasa mengi" hapa yanakupunguzia nini wewe!?

Acha hizo Mkuu kama huna la maana la kuandika kufuatia kifo cha huyu mwenzetu pita kimya kimya.
anazingua huyu
 
Mkuu kwanini ukereke kwa kitu ambacho hakikupunguzii chochote kwenye maisha yako ya kila siku!? Haya "makurasa mengi" hapa yanakupunguzia nini wewe!?

Acha hizo Mkuu kama huna la maana la kuandika kufuatia kifo cha huyu mwenzetu pita kimya kimya.
Si bangi tu na kutafuta umaarufu wa kijinga. Tangu lini MTU akaitwa Tindikali???
 
Nashukuru ingawa sijasema ni Kiranga ,nimeuliza kama ni watoto wa baba mmoja
 



Duh umenishtua sana kumbe Dena Amsi ndio Leah Komba
Binafsi namfahamu marehemu (Leah Komba) nimewahi kufanya field ofisi ambayo alikuwa anafanya kazi na nimewahi kumfanyia kazi zake nyingi nakumbuka mara ya mwisho tuliwasiliana alipata kazi Kenya akahamia Nairobi
Pumzika kwa amani Leah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…