Polensanawafiwaa sijaonaahatammoja anashaurii michangooo lohhNi habari za kusikitisha kwa familia ya JamiiForums kwa ujumla wake.
Inadaiwa marehemu Dena Amsi amefariki jana baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
Taarifa za kina juu ya nini kilitokea na msiba upo wapi zitafuatia.
Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake na kumjalia pumziko la milele.
R.I.P Dena Amsi
Do u mean 8 days ain't enough for someone to die???Poleni sana wafiwa, mie hii habari imenistua sana hasa ukitilia maanani mara ya mwisho Dena Amsi aliingia humu December 18, 2016. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Do u mean 8 days ain't enough for someone to die???
Ukimya wako utawashitua watu..... alafu it is not a big deal wont change a thing au unataka RIP?? Hazisaidii hizo ni mazoea tu ya watu.RIP.
Najiuliza siku nikifa nani atawapa taatifa maana hakuna mtu hata mmoja anayenijua.
Ameen.Whaaaaaat?OMG!
Allah akujaalie kaul thabit Dena [emoji17] [emoji120]
Kishalala mahala pema... the world is not a better place. She is more safe now.Mungu amlaze pema ndugu yetu.Bwana ametoa,Bwana ametwaa,jina la Bwana lihimidiwe Amina!
Sure bro...may her soul rest n peace[emoji25] [emoji30]Kishalala mahala pema... the world is not a better place. She is more safe now.
AameenAllah amrehemu.
OkayHapana sikumaanisha hivyo, Mtu anaweza hata kuanguka tu na akawa ndiyo kishafariki, kuna ajali na pia kuna ugonjwa. Hatujui huyu mwenzetu kama kweli kafariki nini ni chanzo cha kifo chake. Hivyo ilikuwa ni namna tu ya kuulizia chanzo cha kifo chake.