Nimepigwa na butwaa tangu nipoke hii taarifa.
Dena Amsi, King Mungu igaslaa ne iga amorosiatet. Aten king i-islawan ar muru hho tatlehhit bara-slafing-woge. Umu Mungu i-khirfuti.
(Dena Amsi, wewe Mungu amekupenda na amekuita kwake. Sisi tutakumbuka kwa mazuri uliyoyafanya wakati wa uhai wako, Jina la Mungu litukuzwe)
Kila nikiongea na Dena tunajaribu kuongea Ki nyumbani japokuwa hatukijui kivile.
Ni vema nikimuaga kwa lugha ambayo huwa tunajaribu kuitumia. Kwa kweli sitaki kabisa kuamini hili bado.