TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

Pole sana JF family na Familia ya wafiwa pia.
 
RIP ..... Mungu awape wepesi ndugu, majirani pamoja na
marafiki zake
 
Mleta report mpaka muda huu hujaleta habari kamili,msiba huko wapi na hata picha moja ya marehemu huenda kuna marafiki zake wa zamani alisoma nao au alijuana nao na taarifa hawana ili iwe rahisi kumfikia mahala halipo marehemu na taratibu za msiba zifanyike
 
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake limihidiwe

Pumzika kwa Amani Dena
 
Ni habari za kusikitisha kwa familia ya JamiiForums kwa ujumla wake.

Inadaiwa marehemu Dena Amsi amefariki jana baada ya kuugua kwa siku kadhaa.

Taarifa za kina juu ya nini kilitokea na msiba upo wapi zitafuatia.

Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake na kumjalia pumziko la milele.

R.I.P Dena Amsi
Mungu akupe wepesi R.I.P
 
Back
Top Bottom