Hakuna ubaya kuanika utambulisho wake kwa sababu kwa sasa hatunae tena pia inasaidia kuweka historia yake sawa kwa wasiomfahamu!
Wewe tiririka wasufu wake hapa, ili tumfahamu vema!
Nitakua mpumbavu sana nikifanya hayo!!
Unajua kwa nini aliamua kutumia id yake (iliyoficha utambulisho wake)? Bila shaka alikua na sababu zake!
Kama hakujianika akiwa hai, kwa nini umuanike wakati asioweza kujitetea?
Unless iwe aliacha maagizo ya kuwekwa humu....sisi ni nani hata tumuamulie?