Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan it pains mnoo pale unapojuana na mtu humu jamvini mnakuwa ndg afu ghafla anafariki. Kila siku unajikuta unamkumbuka hasa ukiona nyuzo.ambazo unajua akizikamata utafurahia.mchango wakeLeo nimejikuta namkumbuka sana @DenaAmsi 💔💔
Roho yake iendelee kupumzika kwa amani amina
Pole sana mkuu Takison roho zao zipumzike kwa amani aminaHuwa namkumbuka sana huyu Dada. Nilipofiwa na mchumba wangu in 2011 alifariji sana. Alinitia moyo mno... Anyway, najua atakuwa amekutana naye na wanapiga stori... Sorry for her family, endelea kumpumzika kwa Amani Dena Amsi
yaani usiseme best jf ni kama ndugu jamani mm ikifika december simsahau Dotto mnzava yaani alikuwa rafiki na ndugu Mungu amtangulie uko alikoYaan it pains mnoo pale unapojuana na mtu humu jamvini mnakuwa ndg afu ghafla anafariki. Kila siku unajikuta unamkumbuka hasa ukiona nyuzo.ambazo unajua akizikamata utafurahia.mchango wake
Huyu ndo alijiua[emoji24][emoji24][emoji24][emoji22][emoji22]wanawake wabaya sanayaani usiseme best jf ni kama ndugu jamani mm ikifika december simsahau Dotto mnzava yaani alikuwa rafiki na ndugu Mungu amtangulie uko aliko
Huyu jamaa nadhani alipata ajali ya pikipiki, so sad!!Huyu ndo alijiua[emoji24][emoji24][emoji24][emoji22][emoji22]wanawake wabaya sana
Hapanaaa huyu alikuwa mwandisi mbeya na alijiuaaa..[emoji24][emoji24][emoji24]kisa mkewe anachepukaHuyu jamaa nadhani alipata ajali ya pikipiki, so sad!!
Huyu ndo alijiua[emoji24][emoji24][emoji24][emoji22][emoji22]wanawake wabaya sana
Soma hapo mkuu. Tusibishane sana...Hapanaaa huyu alikuwa mwandisi mbeya na alijiuaaa..[emoji24][emoji24][emoji24]kisa mkewe anachepuka
Kweli mkuu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]nimekusomaaAlipata ajali ya pikipiki eneo la Victoria Dar.
Aliyejiua ni Yona Maro mwandishi huko Mbeya baada ya mke wake kutofautiana naye masuala ya uhalali wa kiuno