Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Habari viongozi, na watu wote.
Naomba kwanza ku-declare my side ni kwamba siwezi kumwacha mke wangu niliezaana nae hata mtoto mmoja tu kisa amechepuka.
Kuna ndugu yetu humu ndani amemfukuza jana mke wake huko Dar baada ya mke wa mume aliyechepuka na mke wake kuja na kundi la watu wakiwa na madela kwa lengo la kumsuta na kumchana. Tarumbeta, ngoma, filimbi na mayowe mengi yalisikika.
Kutokana na kelele nyingi dada wa kazi alitoka nje na kukuta nyimbo zinaimbwa alipouliza kuna nn? Akaishia kuulizwa mtu fulani yupo? Akajibu hayupo ila mume wake yupo, wakaona hata kama mhusika hayupo, ngoma iliendelea kwa mda mda sana.
Dada wa kazi alipoingia ndani akaulizwa na mume kuna nn nae dada kasema kila kitu. Baadae baada ya mke kuja mwana jamiiforums wenzetu amekasilika na kumfukuza mke wake kwanza ana watoto 2 pale nyumbani na pili utaratibu haujafuata na tatu hajasikiliza upande wa mke. Hasira na wivu umemjaa kiasi cha kushindwa kutumia busara na hekima katika hili.
Namshauri mke wako sio malaya na nakili ametenda kosa ila tabia yake unaijua vizuri sio muhuni.
Usimwache mke kisa kuchepuka kwani kufanya hivyo ni kutoa gome kwenye jicho la mwenzako na wakati huo ww una boriti jichoni kwako
Naomba kwanza ku-declare my side ni kwamba siwezi kumwacha mke wangu niliezaana nae hata mtoto mmoja tu kisa amechepuka.
Kuna ndugu yetu humu ndani amemfukuza jana mke wake huko Dar baada ya mke wa mume aliyechepuka na mke wake kuja na kundi la watu wakiwa na madela kwa lengo la kumsuta na kumchana. Tarumbeta, ngoma, filimbi na mayowe mengi yalisikika.
Kutokana na kelele nyingi dada wa kazi alitoka nje na kukuta nyimbo zinaimbwa alipouliza kuna nn? Akaishia kuulizwa mtu fulani yupo? Akajibu hayupo ila mume wake yupo, wakaona hata kama mhusika hayupo, ngoma iliendelea kwa mda mda sana.
Dada wa kazi alipoingia ndani akaulizwa na mume kuna nn nae dada kasema kila kitu. Baadae baada ya mke kuja mwana jamiiforums wenzetu amekasilika na kumfukuza mke wake kwanza ana watoto 2 pale nyumbani na pili utaratibu haujafuata na tatu hajasikiliza upande wa mke. Hasira na wivu umemjaa kiasi cha kushindwa kutumia busara na hekima katika hili.
Namshauri mke wako sio malaya na nakili ametenda kosa ila tabia yake unaijua vizuri sio muhuni.
Usimwache mke kisa kuchepuka kwani kufanya hivyo ni kutoa gome kwenye jicho la mwenzako na wakati huo ww una boriti jichoni kwako