Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee jamaa comments zako huwa zinanifurahisha Sana[emoji2]Uswahilini Huu Uzi Tungeuita Mbombo Nkafu.
Kwa Hii Situation Pia Ni Mbombo Nkafu Mara Tufu.
NB: Sijui Hata Maana Ya Hilo Neno Mbombo Nkafu.
Ila Kiukweli Nikivaa Viatu Vya Huyo Jamaa Mambo Nayaona Ni Mbombo Nkafu.
Sahiin kabisa mkuu[emoji106]Wivu ni manifestation ya ownership, control na sense of belonging, if you don't care what Bible cares the most you are dead.
SAHII kabisaUmbea tu
Achana nae mkuu mimi mwenyewe natumia hiyohiyo. Madam inakufaa wewe yeye anawashwa nini?Mkuu kipato changing tsh 2.5k Nina watoto 2 mke chumba Cha kupanga nikinunua smu Mambo yatakuwa mabaya
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nimeongeza hapo ikithibitika! MWANAMKE kutongozwa ngumu sana kuzuia ndio uanamke wenyewe.Ila kwa huyu ni sms tu tena ya kumtongoza
sasa angefanyaje mtoto wa watu? Sms zipo positive sana ndio maana hata mke aliamua kukusanya watu kwenda kumjazia inzi.Nimeongeza hapo ikithibitika! MWANAMKE kutongozwa ngumu sana kuzuia ndio uanamke wenyewe.
Ww ndio mke wa jamaa.Unaomba msamaha kimtindoHabari viongozi, na watu wote.
Naomba kwanza ku-declare my side ni kwamba siwezi kumwacha mke wangu niliezaana nae hata mtoto mmoja tu kisa amechepuka.
Kuna ndugu yetu humu ndani amemfukuza jana mke wake huko Dar baada ya mke wa mume aliyechepuka na mke wake kuja na kundi la watu wakiwa na madela kwa lengo la kumsuta na kumchana. Tarumbeta, ngoma, filimbi na mayowe mengi yalisikika.
Kutokana na kelele nyingi dada wa kazi alitoka nje na kukuta nyimbo zinaimbwa alipouliza kuna nn? Akaishia kuulizwa mtu fulani yupo? Akajibu hayupo ila mume wake yupo, wakaona hata kama mhusika hayupo, ngoma iliendelea kwa mda mda sana.
Dada wa kazi alipoingia ndani akaulizwa na mume kuna nn nae dada kasema kila kitu. Baadae baada ya mke kuja mwana jamiiforums wenzetu amekasilika na kumfukuza mke wake kwanza ana watoto 2 pale nyumbani na pili utaratibu haujafuata na tatu hajasikiliza upande wa mke. Hasira na wivu umemjaa kiasi cha kushindwa kutumia busara na hekima katika hili.
Namshauri mke wako sio malaya na nakili ametenda kosa ila tabia yake unaijua vizuri sio muhuni.
Usimwache mke kisa kuchepuka kwani kufanya hivyo ni kutoa gome kwenye jicho la mwenzako na wakati huo ww una boriti jichoni kwako
Zogo tundo tatizo la kuwa na ma shost viherehere, wambea, shankupe, visalata mtaa
siku mkikosana anakujazia mtaa
Asa hayo matarumbeta yalikuwa na umuhim gani hapo??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ww ndio mke wa jamaa.Unaomba msamaha kimtindo
Tatizo mnaoa malaya na mishangazi ya humu lazima utachapiwa tu hata na muuza chipsHabari viongozi, na watu wote.
Naomba kwanza ku-declare my side ni kwamba siwezi kumwacha mke wangu niliezaana nae hata mtoto mmoja tu kisa amechepuka.
Kuna ndugu yetu humu ndani amemfukuza jana mke wake huko Dar baada ya mke wa mume aliyechepuka na mke wake kuja na kundi la watu wakiwa na madela kwa lengo la kumsuta na kumchana. Tarumbeta, ngoma, filimbi na mayowe mengi yalisikika.
Kutokana na kelele nyingi dada wa kazi alitoka nje na kukuta nyimbo zinaimbwa alipouliza kuna nn? Akaishia kuulizwa mtu fulani yupo? Akajibu hayupo ila mume wake yupo, wakaona hata kama mhusika hayupo, ngoma iliendelea kwa mda mda sana.
Dada wa kazi alipoingia ndani akaulizwa na mume kuna nn nae dada kasema kila kitu. Baadae baada ya mke kuja mwana jamiiforums wenzetu amekasilika na kumfukuza mke wake kwanza ana watoto 2 pale nyumbani na pili utaratibu haujafuata na tatu hajasikiliza upande wa mke. Hasira na wivu umemjaa kiasi cha kushindwa kutumia busara na hekima katika hili.
Namshauri mke wako sio malaya na nakili ametenda kosa ila tabia yake unaijua vizuri sio muhuni.
Usimwache mke kisa kuchepuka kwani kufanya hivyo ni kutoa gome kwenye jicho la mwenzako na wakati huo ww una boriti jichoni kwako