Mwana JamiiForums mwenzangu, msamehe mke wako japo ni kweli alichepuka kwa mume wa shosti yake

Mwana JamiiForums mwenzangu, msamehe mke wako japo ni kweli alichepuka kwa mume wa shosti yake

Mtoa mada sijakuelewa,
Hivi unamuombea msamaha Kama Nani?

Au ndo wewe ulkua unatembea na MKE wake[emoji848]
 
Uswahilini Huu Uzi Tungeuita Mbombo Nkafu.

Kwa Hii Situation Pia Ni Mbombo Nkafu Mara Tufu.

NB: Sijui Hata Maana Ya Hilo Neno Mbombo Nkafu.


Ila Kiukweli Nikivaa Viatu Vya Huyo Jamaa Mambo Nayaona Ni Mbombo Nkafu.
Wee jamaa comments zako huwa zinanifurahisha Sana[emoji2]
 
Nimeongeza hapo ikithibitika! MWANAMKE kutongozwa ngumu sana kuzuia ndio uanamke wenyewe.
sasa angefanyaje mtoto wa watu? Sms zipo positive sana ndio maana hata mke aliamua kukusanya watu kwenda kumjazia inzi.
 
Habari viongozi, na watu wote.

Naomba kwanza ku-declare my side ni kwamba siwezi kumwacha mke wangu niliezaana nae hata mtoto mmoja tu kisa amechepuka.

Kuna ndugu yetu humu ndani amemfukuza jana mke wake huko Dar baada ya mke wa mume aliyechepuka na mke wake kuja na kundi la watu wakiwa na madela kwa lengo la kumsuta na kumchana. Tarumbeta, ngoma, filimbi na mayowe mengi yalisikika.

Kutokana na kelele nyingi dada wa kazi alitoka nje na kukuta nyimbo zinaimbwa alipouliza kuna nn? Akaishia kuulizwa mtu fulani yupo? Akajibu hayupo ila mume wake yupo, wakaona hata kama mhusika hayupo, ngoma iliendelea kwa mda mda sana.

Dada wa kazi alipoingia ndani akaulizwa na mume kuna nn nae dada kasema kila kitu. Baadae baada ya mke kuja mwana jamiiforums wenzetu amekasilika na kumfukuza mke wake kwanza ana watoto 2 pale nyumbani na pili utaratibu haujafuata na tatu hajasikiliza upande wa mke. Hasira na wivu umemjaa kiasi cha kushindwa kutumia busara na hekima katika hili.

Namshauri mke wako sio malaya na nakili ametenda kosa ila tabia yake unaijua vizuri sio muhuni.

Usimwache mke kisa kuchepuka kwani kufanya hivyo ni kutoa gome kwenye jicho la mwenzako na wakati huo ww una boriti jichoni kwako
Ww ndio mke wa jamaa.Unaomba msamaha kimtindo
 
ndo tatizo la kuwa na ma shost viherehere, wambea, shankupe, visalata mtaa

siku mkikosana anakujazia mtaa

Asa hayo matarumbeta yalikuwa na umuhim gani hapo??
 
Hayo majitu ni ya kutimua tu yaani unalinunulia kitu hadi kyupi halafu linaenda kuliwa na kukuletea aibu kwenye jamii fukuzia huko likauze bar ili liliwe tani yake.
 
Habari viongozi, na watu wote.

Naomba kwanza ku-declare my side ni kwamba siwezi kumwacha mke wangu niliezaana nae hata mtoto mmoja tu kisa amechepuka.

Kuna ndugu yetu humu ndani amemfukuza jana mke wake huko Dar baada ya mke wa mume aliyechepuka na mke wake kuja na kundi la watu wakiwa na madela kwa lengo la kumsuta na kumchana. Tarumbeta, ngoma, filimbi na mayowe mengi yalisikika.

Kutokana na kelele nyingi dada wa kazi alitoka nje na kukuta nyimbo zinaimbwa alipouliza kuna nn? Akaishia kuulizwa mtu fulani yupo? Akajibu hayupo ila mume wake yupo, wakaona hata kama mhusika hayupo, ngoma iliendelea kwa mda mda sana.

Dada wa kazi alipoingia ndani akaulizwa na mume kuna nn nae dada kasema kila kitu. Baadae baada ya mke kuja mwana jamiiforums wenzetu amekasilika na kumfukuza mke wake kwanza ana watoto 2 pale nyumbani na pili utaratibu haujafuata na tatu hajasikiliza upande wa mke. Hasira na wivu umemjaa kiasi cha kushindwa kutumia busara na hekima katika hili.

Namshauri mke wako sio malaya na nakili ametenda kosa ila tabia yake unaijua vizuri sio muhuni.

Usimwache mke kisa kuchepuka kwani kufanya hivyo ni kutoa gome kwenye jicho la mwenzako na wakati huo ww una boriti jichoni kwako
Tatizo mnaoa malaya na mishangazi ya humu lazima utachapiwa tu hata na muuza chips
 
Back
Top Bottom