Mwana JamiiForums mwenzangu, msamehe mke wako japo ni kweli alichepuka kwa mume wa shosti yake

Mwana JamiiForums mwenzangu, msamehe mke wako japo ni kweli alichepuka kwa mume wa shosti yake

Mke wake hana tabia hiyo hata mtaa unashangaa ila mm namlaumu shosti yake ambaye alikuwa anampeleka home kwake, kumbe mume wake ni fisi. Alikuwa anamtongoza kwa sms na sms hizo zilifumwa na shosti yake na akaenda na matarumbeta nyumbani kwa mhanga.
Ndio maana nimesema ni kweli mke kachepuka kwa kuwa alikuwa na namba ya mtu mwingine ila hajawahi kutana nae kimwili. Kwanza angemsikiliza kwanza mke wake na kuliko alichofanya badass kwa mke wake,
Nimekuelewa lakn hajachepuka maana kuchepuka had achakatwe mbususu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mke wake hana tabia hiyo hata mtaa unashangaa ila mm namlaumu shosti yake ambaye alikuwa anampeleka home kwake, kumbe mume wake ni fisi. Alikuwa anamtongoza kwa sms na sms hizo zilifumwa na shosti yake na akaenda na matarumbeta nyumbani kwa mhanga.
Ndio maana nimesema ni kweli mke kachepuka kwa kuwa alikuwa na namba ya mtu mwingine ila hajawahi kutana nae kimwili. Kwanza angemsikiliza kwanza mke wake na kuliko alichofanya badass kwa mke wake,
Inaonekana unawafahamu vyema wahusika, au nawe ni mhusika?
 
Inaonekana unawafahamu vyema wahusika, au nawe ni mhusika?
Sio member wala mhusika ila nawajua tokea mke anayedai kuibiwa mume anafunga ndoa na shosti yake huyo alikuwa msimamizi wake. Na hata baada ya ndoa walipanda ndege kwenda Mwanza kuona wakwe. Ni marafiki walioshibana ila wivu tu wa mashosti hata bila kuulizana wanatumbuana kwenye ndoa zao. Shetani yupo katikati yao ndio maana wote wamepigwa upovu. Mume amsamehe mke tu
 
Back
Top Bottom