Mwana JamiiForums mwenzangu, msamehe mke wako japo ni kweli alichepuka kwa mume wa shosti yake

Mwana JamiiForums mwenzangu, msamehe mke wako japo ni kweli alichepuka kwa mume wa shosti yake

Habari viongozi, na watu wote.

Naomba kwanza ku-declare my side ni kwamba siwezi kumwacha mke wangu niliezaana nae hata mtoto mmoja tu kisa amechepuka.

Kuna ndugu yetu humu ndani amemfukuza jana mke wake huko Dar baada ya mke wa mume aliyechepuka na mke wake kuja na kundi la watu wakiwa na madela kwa lengo la kumsuta na kumchana. Tarumbeta, ngoma, filimbi na mayowe mengi yalisikika.

Kutokana na kelele nyingi dada wa kazi alitoka nje na kukuta nyimbo zinaimbwa alipouliza kuna nn? Akaishia kuulizwa mtu fulani yupo? Akajibu hayupo ila mume wake yupo, wakaona hata kama mhusika hayupo, ngoma iliendelea kwa mda mda sana.

Dada wa kazi alipoingia ndani akaulizwa na mume kuna nn nae dada kasema kila kitu. Baadae baada ya mke kuja mwana jamiiforums wenzetu amekasilika na kumfukuza mke wake kwanza ana watoto 2 pale nyumbani na pili utaratibu haujafuata na tatu hajasikiliza upande wa mke. Hasira na wivu umemjaa kiasi cha kushindwa kutumia busara na hekima katika hili.

Namshauri mke wako sio malaya na nakili ametenda kosa ila tabia yake unaijua vizuri sio muhuni.

USIMWACHE MKE KISA KUCHEPUKA KWANI KUFANYA HIVYO NI KUTOA GOME KWENYE JICHO LA MWENZAKO NA WAKATI HUO WW UNA BORITI JICHONI KWAKO
Unajiombea msamaha kijanja
 
Kujiajiri kugumu ndugu zangu.

Siku hizi natembeza viatu vya kike sasa nipo hapa Manyanya nimekutana na ex wangu hivi ninavyoandika tupo kwenye bodaboda tunarudi nyumbani.

Mniombee
Hahaa.. Mzee mbona dalili zinaonesha pea za viatu zitapungua mkononi na hela ya kuuzia hutakuwa nayo. [emoji23]
 
Uswahilini Huu Uzi Tungeuita Mbombo Nkafu.

Kwa Hii Situation Pia Ni Mbombo Nkafu Mara Tufu.

NB: Sijui Hata Maana Ya Hilo Neno Mbombo Nkafu.


Ila Kiukweli Nikivaa Viatu Vya Huyo Jamaa Mambo Nayaona Ni Mbombo Nkafu.
 
Uswahilini Huu Uzi Tungeuita Mbombo Nkafu.

Kwa Hii Situation Pia Ni Mbombo Nkafu Mara Tufu.

NB: Sijui Hata Maana Ya Hilo Neno Mbombo Nkafu.


Ila Kiukweli Nikivaa Viatu Vya Huyo Jamaa Mambo Nayaona Ni Mbombo Nkafu.
Kama haujui maana ya mbombo nkafu unawezaje kusema nawe unaona hivyo? Itakuwa unajua ila hautaki kutunufaisha
 
Hahaa.. Mzee mbona dalili zinaonesha pea za viatu zitapungua mkononi na hela ya kuuzia hutakuwa nayo. [emoji23]
Ameenda kupima oil kama deep stick inapita vile vile au imekuwa ndogo.
 
Yani kumbe hata kukulana hawajakulana!
Au mimi ndio sijaelewa
Hajawahi kuliwa ila hasira amepandishwa na kelele za rafiki yake na maneno mengi ya uwongo. Maana binti anaongea alafu linapigwa sebene hadi watu walijaa wengi sana.
 
Hajawahi kuliwa ila hasira amepandishwa na kelele za rafiki yake na maneno mengi ya uwongo. Maana binti anaongea alafu linapigwa sebene hadi watu walijaa wengi sana.
Basi kama ni kweli mwanaume hajatenda haki
 
Mm nina cd yote ya kisa hiki na hata ikitokea mahamani naenda kumtetea mwanamke huyu against my fellow jamiiforumian
Mhh..Uko vyema.

Hivi huyo mwanajf anajua unamjua au wewe unamjua bila yeye kujijua?maswali ni mengi loh
 
Habari viongozi, na watu wote.

Naomba kwanza ku-declare my side ni kwamba siwezi kumwacha mke wangu niliezaana nae hata mtoto mmoja tu kisa amechepuka.

Kuna ndugu yetu humu ndani amemfukuza jana mke wake huko Dar baada ya mke wa mume aliyechepuka na mke wake kuja na kundi la watu wakiwa na madela kwa lengo la kumsuta na kumchana. Tarumbeta, ngoma, filimbi na mayowe mengi yalisikika.

Kutokana na kelele nyingi dada wa kazi alitoka nje na kukuta nyimbo zinaimbwa alipouliza kuna nn? Akaishia kuulizwa mtu fulani yupo? Akajibu hayupo ila mume wake yupo, wakaona hata kama mhusika hayupo, ngoma iliendelea kwa mda mda sana.

Dada wa kazi alipoingia ndani akaulizwa na mume kuna nn nae dada kasema kila kitu. Baadae baada ya mke kuja mwana jamiiforums wenzetu amekasilika na kumfukuza mke wake kwanza ana watoto 2 pale nyumbani na pili utaratibu haujafuata na tatu hajasikiliza upande wa mke. Hasira na wivu umemjaa kiasi cha kushindwa kutumia busara na hekima katika hili.

Namshauri mke wako sio malaya na nakili ametenda kosa ila tabia yake unaijua vizuri sio muhuni.

Usimwache mke kisa kuchepuka kwani kufanya hivyo ni kutoa gome kwenye jicho la mwenzako na wakati huo ww una boriti jichoni kwako
Sio gome ni kibanzi.

Halafu katika hali ya kawaida hata vitabu vya MUNGU vimeagiza wazi wazi kuwa mwanamke anasamehewa na kuelekezwa tabia zote mbaya ila sio kulala tupu na mwanaume mwingine na kufanya nae ngono zembe.

Ukisamehe jiandae kukutwa na makubwa zaidi. Wanawake huwa wanakupimia kulingana na namna una mtreat ndipo na yeye anatarespond vile vile.

Ukicheka nae atakuongezea vituko, ukiwa serious na yeye atakuwa na misimamo kwa wanaume wataoleta mazoea nae katika ndoa yako.

Sasa ameshavuliwa chupi wewe unamchekea jua ni swala la muda tu atarudia aidha na mtu yule yule au mwingine.
 
Back
Top Bottom