Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Nimekuelewa lakn hajachepuka maana kuchepuka had achakatwe mbususuMke wake hana tabia hiyo hata mtaa unashangaa ila mm namlaumu shosti yake ambaye alikuwa anampeleka home kwake, kumbe mume wake ni fisi. Alikuwa anamtongoza kwa sms na sms hizo zilifumwa na shosti yake na akaenda na matarumbeta nyumbani kwa mhanga.
Ndio maana nimesema ni kweli mke kachepuka kwa kuwa alikuwa na namba ya mtu mwingine ila hajawahi kutana nae kimwili. Kwanza angemsikiliza kwanza mke wake na kuliko alichofanya badass kwa mke wake,
Inaonekana unawafahamu vyema wahusika, au nawe ni mhusika?Mke wake hana tabia hiyo hata mtaa unashangaa ila mm namlaumu shosti yake ambaye alikuwa anampeleka home kwake, kumbe mume wake ni fisi. Alikuwa anamtongoza kwa sms na sms hizo zilifumwa na shosti yake na akaenda na matarumbeta nyumbani kwa mhanga.
Ndio maana nimesema ni kweli mke kachepuka kwa kuwa alikuwa na namba ya mtu mwingine ila hajawahi kutana nae kimwili. Kwanza angemsikiliza kwanza mke wake na kuliko alichofanya badass kwa mke wake,
Tecno F1 mbona nzuri tu ukitoa shida ya ubora wa camera na kujipiga picha ikiwa kwenye lock mfukoniMkuu kipato changing tsh 2.5k Nina watoto 2 mke chumba Cha kupanga nikinunua smu Mambo yatakuwa mabaya
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Vp hapo korido za lumumba ushapewa kitengo au Mambo badoPole Sana mkuu
Ngoma bado inasoma 0:0 hadi sasa mkuu.Vp hapo korido za lumumba ushapewa kitengo au Mambo bado
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Beki tatu leo kasuuziwa..jamaa kajipoza machunguIle ngoma inatia hasira, ila sema tu ni komoa ya mtaani hamna lolote.
Atamfuatilia mke wake tu ila leo atakuwa kamfanya beki tatu.
Wanaume bana.
Sio member wala mhusika ila nawajua tokea mke anayedai kuibiwa mume anafunga ndoa na shosti yake huyo alikuwa msimamizi wake. Na hata baada ya ndoa walipanda ndege kwenda Mwanza kuona wakwe. Ni marafiki walioshibana ila wivu tu wa mashosti hata bila kuulizana wanatumbuana kwenye ndoa zao. Shetani yupo katikati yao ndio maana wote wamepigwa upovu. Mume amsamehe mke tuInaonekana unawafahamu vyema wahusika, au nawe ni mhusika?
Ukiwa na hasira mbususi haina radha,niamini mimi.Beki tatu leo kasuuziwa..jamaa kajipoza machungu
kiimani na kimwili huwa tunatafsiri ametenda,kwani ilibidi amueleze mume wake mapema na akae mbali na nyumba ile.Nimekuelewa lakn hajachepuka maana kuchepuka had achakatwe mbususu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Pole Sana angekuwepo mwenda zake had mda huu nadhan ungekuwa masidiz wa slow slow maana mlimpigania Sana kipenz Cha wanyongeNgoma bado inasoma 0:0 hadi sasa mkuu.
Sio vizuri kwani natambua kwa wiki hii hata ingia na akiingia hata comment na akianzisha mqda basi itakuwa ina relate na hiiUngefanya vyema kumtag ili aje afafanue Zaid ilikuaje
Hata Sasa bado naendelea kupambana mkuuPole Sana angekuwepo mwenda zake had mda huu nadhan ungekuwa masidiz wa slow slow maana mlimpigania Sana kipenz Cha wanyonge
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ila kwa huyu ni sms tu tena ya kumtongozaHana nafasi mwanamke mchepukaji ikathibikitika kwa mwanaume mwenye akili!
Utoaji wa ajira wa awamu ya tano ulikuwa specific sana kwa mtu fulani na sio general kwa watu wotePole Sana angekuwepo mwenda zake had mda huu nadhan ungekuwa masidiz wa slow slow maana mlimpigania Sana kipenz Cha wanyonge
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja. Akimtag naomba uniite[emoji38]Ungefanya vyema kumtag ili aje afafanue Zaid ilikuaje
Mapenzi yana uchafu mwingi na hasa waenda chumviniUkicheka cheka na malaya kuna siku atakulisha mbegu za mwanaume mwenzako.
Atakuja huko utamkiss kumbe mwenzio katoka kubugia mbegu.