TANZIA Mwana JamiiForums mwenzetu Kanungila Karim amefiwa na baba yake mzazi

Amazing grace how sweet the sound
That saved a wretch like me
I once was lost, but now I'm found
Was blind but now I see
🙏🙏🙏🙏🙏
 
Pole sana Karimu
 
May his soul fly high pole sana jombi KANUGILA
 
Pole sana Kanungila Karim Mungu akupe faraja katika kipindi hiki kigumu.

May his soul rest in eternal peace 🙏
 
Dah.. apumzike kwa amani mzee wetu,

Mungu amtie nguvu kipi hiki kigumu kwake ndugu yetu.
Kila mmoja atakwenda muda wake utakapofika.
 
Pole nyingi sana kwako Kanungila Karim pamoja na familia na wahusika wote.
Hitimisho la maisha ya mwanadamu na hata viumbe vingine ni kifo, japo kinauma sana lakini hakuna namna zaidi ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya maisha aliyo tudhamini na kumshukuru pia anapoya hitimisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…