Mwana JF ambae huzijui hizi threads mbingu ni yako

Mwana JF ambae huzijui hizi threads mbingu ni yako

Mbona hiyo ya mibebez imetaradadi sana, hadi imefika 1440 huko.......JF full mabaharia.
 
Wakuuu kama kuna member ambae kiukweli hajawahi zama kwenye hizi thread I swear it will be easy kwake kuiona mbingu.
Nawasilisha.

(1)Uzi wa watoto wazuri worldwide.
Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

(2)Uzi wa wazee wa kula tunda kimasihara
Ulishawahi kula tunda kimasihara?

(3)Uzi wa kupeana like bila khiyana, bila shaka ni uzi pendwa wa mzee Extrovert
Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"
Dah hizi ni common,
 
Uzi "machache kuhusu video za ngono marekani"
Huu Uzi umenifungua macho
 
Hizo thread mbili za mwanzo “PICHA ZA WAREMBO WAKALI WORLD WIDE na ”KULA TUNDA KIMASIHARA”. Nina uhakika wanawake wa humu hawataki hata kuziona. Waulize
Kimasihara wanasoma kimya kimya
 
S
Huo na 1 hatari tupu watu wanajisahau sana na sio mzuri kabisa .
Siyo mzuri kwani content yake ni ya matusi?

Kutupia sura ama kuchabo sura iliyoumbwa na Mungu mwenyezi kuna ubaya au dhambi?
 
Wakuuu kama kuna member ambae kiukweli hajawahi zama kwenye hizi thread I swear it will be easy kwake kuiona mbingu.
Nawasilisha.

(1)Uzi wa watoto wazuri worldwide.
Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

(2)Uzi wa wazee wa kula tunda kimasihara
Ulishawahi kula tunda kimasihara?

(3)Uzi wa kupeana like bila khiyana, bila shaka ni uzi pendwa wa mzee Extrovert
Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"
Uzi tayari by JF Expert Member. Bora DPW Apewe bandari zote tu.
 
Wakuuu kama kuna member ambae kiukweli hajawahi zama kwenye hizi thread I swear it will be easy kwake kuiona mbingu.
Nawasilisha.

(1)Uzi wa watoto wazuri worldwide.
Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

(2)Uzi wa wazee wa kula tunda kimasihara
Ulishawahi kula tunda kimasihara?

(3)Uzi wa kupeana like bila khiyana, bila shaka ni uzi pendwa wa mzee Extrovert
Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"
Sasa hapa uzi wa kupeana likes una shida gani?
 
Wakuuu kama kuna member ambae kiukweli hajawahi zama kwenye hizi thread I swear it will be easy kwake kuiona mbingu.
Nawasilisha.

(1)Uzi wa watoto wazuri worldwide.
Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

(2)Uzi wa wazee wa kula tunda kimasihara
Ulishawahi kula tunda kimasihara?

(3)Uzi wa kupeana like bila khiyana, bila shaka ni uzi pendwa wa mzee Extrovert
Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"
Pamoja kwamba ni nyuzi zilizojaa ufirauni ila haziwezi kufikia Uzi wa Dar vs Nairobi Kwa wachangiaji japo mostly ni wale wale
 
Back
Top Bottom