Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo bwana Carlos The Jackal tumweke tier ipi kwenye kulana kimaskiharanyuzi zote hizo ni top tier hapa jf😅
Dah hizi ni common,Wakuuu kama kuna member ambae kiukweli hajawahi zama kwenye hizi thread I swear it will be easy kwake kuiona mbingu.
Nawasilisha.
(1)Uzi wa watoto wazuri worldwide.
Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies
(2)Uzi wa wazee wa kula tunda kimasihara
Ulishawahi kula tunda kimasihara?
(3)Uzi wa kupeana like bila khiyana, bila shaka ni uzi pendwa wa mzee Extrovert
Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"
Enhee!! Ndo mnapendaa ivo!!-- sasa hapo bichwa kuuubwa umesifiwa na mrembo! Hulali leo!Lazima twende wote. Sikuachi nyuma mama watoto
Akikujibu ndio, unafanyaje?Na wewe umeamini hazijui hizo thread?
We ndio kinara wa kupost picha za warembo kuleHizo thread ziko JF au Facebook?
Na mimi ni mume wa mtu... ngoma drooEnhee!! Ndo mnapendaa ivo!!-- sasa hapo bichwa kuuubwa umesifiwa na mrembo! Hulali leo!
Mke wa mtu huyo!! oo!! oo!! hooo!!
Kimasihara wanasoma kimya kimyaHizo thread mbili za mwanzo “PICHA ZA WAREMBO WAKALI WORLD WIDE na ”KULA TUNDA KIMASIHARA”. Nina uhakika wanawake wa humu hawataki hata kuziona. Waulize
Siyo mzuri kwani content yake ni ya matusi?Huo na 1 hatari tupu watu wanajisahau sana na sio mzuri kabisa .
Uzi tayari by JF Expert Member. Bora DPW Apewe bandari zote tu.Wakuuu kama kuna member ambae kiukweli hajawahi zama kwenye hizi thread I swear it will be easy kwake kuiona mbingu.
Nawasilisha.
(1)Uzi wa watoto wazuri worldwide.
Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies
(2)Uzi wa wazee wa kula tunda kimasihara
Ulishawahi kula tunda kimasihara?
(3)Uzi wa kupeana like bila khiyana, bila shaka ni uzi pendwa wa mzee Extrovert
Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"
Sasa hapa uzi wa kupeana likes una shida gani?Wakuuu kama kuna member ambae kiukweli hajawahi zama kwenye hizi thread I swear it will be easy kwake kuiona mbingu.
Nawasilisha.
(1)Uzi wa watoto wazuri worldwide.
Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies
(2)Uzi wa wazee wa kula tunda kimasihara
Ulishawahi kula tunda kimasihara?
(3)Uzi wa kupeana like bila khiyana, bila shaka ni uzi pendwa wa mzee Extrovert
Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"
Tupo wengi kumbe😅😅Kwakweli namba moja naongoza kwa mahudhurio
Pamoja kwamba ni nyuzi zilizojaa ufirauni ila haziwezi kufikia Uzi wa Dar vs Nairobi Kwa wachangiaji japo mostly ni wale waleWakuuu kama kuna member ambae kiukweli hajawahi zama kwenye hizi thread I swear it will be easy kwake kuiona mbingu.
Nawasilisha.
(1)Uzi wa watoto wazuri worldwide.
Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies
(2)Uzi wa wazee wa kula tunda kimasihara
Ulishawahi kula tunda kimasihara?
(3)Uzi wa kupeana like bila khiyana, bila shaka ni uzi pendwa wa mzee Extrovert
Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"
😄Pamoja kwamba ni nyuzi zilizojaa ufirauni ila haziwezi kufikia Uzi wa Dar vs Nairobi Kwa wachangiaji japo mostly ni wale wale