Uchaguzi 2020 Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu

Watanzania jitokezeni kupiga kura
Huyu Mayala anataka kuwavunja moyo ili wapate urahisi wakujijazia kura zenu.pigeni mpk wakose chochoro lakuibia kura
 
Baada ya uchaguzi, ndipo Nikachukuliwa na Masai Studios, kuendesha kipindi cha Kiti Moto, nikiwa tena pioneer host wa talk shows za ukumbini, reality show.



Pasco,

The First
Pasko , hapo kwenye kiti moto.
Bwana ulitukosha wengi, ila hujaeleza kwa nini kilitokomea/tokomezwa.
Halafu sasa kiti moto katika jamii ni nyama ya ninihii..............
 
Hii inafahamika hakuna mwingine zaidi ya Magufuli October 28th.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Pasco kuna mahali umeandika uongo

Nakumbuka hizo nyuzi za 2014 ulitabiri kuwa

''mgombea urais kwa tiketi ya CCM anaweza kuwa John P. Magufuli'' hukusema atashinda urais

Pia kwa Makonda ulisema amefanya vizuri kwenye u DC anafaa kuwa RC ila hukusema atakuwa yeye

Same happened kwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, ulitoa ushauri tu kwa Dr. Shein lakini hukutabiri kilichotokea.

Keep ua memories correctly
 
Watakuja hapa kukutukana kama kawaida yao. Na ninakwambia wataishia kusoma tu kichwa cha habari kisha wanarukia kukoment matusi.

Ila usijali watakuja kurudia kuusoma huu uzi Lissu akishatangazwa kapata 20%

Na believe me, watajiona wajinga sana!
Asilimia ishirin??? Atakua amejitahid mno nilidhan labda asilimia km tisa.
 
Wewe hujawa NEC.
 
Ulipokwenda kugombea ubunge hiyo sauti ya ndani mwako uliisikia ikikuamuru ya kufanya? Kama ilikuhakikishia ushindi wa kishindo lakini ukajipatia kura yako mwenyewe yaani moja, uliendelea kuiamini ilihali ilikupotosha kwa kukupa matumaini hewa?
Najua bado una mgogoro na nafsi yako hiyo juu ya udanganyifu wa sauti kutoka ndani vile haikuzaa matunda! Sauti hiyo itakuja kukuaibisha Tena siku isiyo na jina! Jiandae kwa lolote na ikikupendeza omba ushauri wa kitaalamu kwa wataalam wa afya ya akili!
Mwisho, tupunguzie unafiki wako humu kwani wengi wanakujua kwa yasiyopendeza! Asante kwa kimbelembele Cha kutuwekea matokeo mliyoyapanga yatakavyokuwa!
 
KITiMOTo bana Huna tofauti na shyrose bhanji
Tatizo Mlisoma masomo Laini yasiyo na future uzeeni
 
Watakuja hapa kukutukana kama kawaida yao. Na ninakwambia wataishia kusoma tu kichwa cha habari kisha wanarukia kukoment matusi.

Ila usijali watakuja kurudia kuusoma huu uzi Lissu akishatangazwa kapata 20%

Na believe me, watajiona wajinga sana!
Dalili namba moja ya mjinga ni njozi,Kama wewe unavyoota njozi hii.
 
mzee wa kura MOKO naona hasira zako umehamishia kwetu. babako aliekufungia mlango mbinguni na duniani umebaki kujipendekeza kwake.
 
Things will neva be same again afta this election.
 
Unaleta Usukuma au siyo? Vyeo vimeisha kaka
 
Yani we jamaa nimekusigrade sana siku hizi we na mtatilo munafanana tu akili zenu
 
Yaani Paskali bwana Njaa nilikupuuza sana! Yaani unazidiwa kura na chitomb?
 
UPUMBAVU MTUPU! Eti huyu naye ni lawyer wa kutoka UDSM!!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…