Mbona mmeingia uchaguzini?sitoshe,hatuna chombo huru cha kusimamia na kuendesha uchaguzi ulio huru na wa haki hivyo huna uhalali wa kusema kuwa CCM atashinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mmeingia uchaguzini?sitoshe,hatuna chombo huru cha kusimamia na kuendesha uchaguzi ulio huru na wa haki hivyo huna uhalali wa kusema kuwa CCM atashinda.
Huyu bwa mdogo Pascal Mayalla bado hajakata tamaa anadhani MEKO atamvuta wakati jua limesha zama na meko anarudi CHATOBaada ya kuona kampeni imekwisha, naona umeporomosha CV ya kutafutia TEUZI. Aiseee!!
Magufuli hawezi kushinda Uchaguzi huu, hata mke wake katika mazingira ya uhuru kabisa hawezi na hataweza kumpigia KURA.
Labda, possibly uwezekano uliopo ni yeye kutangazwa mshindi katika mazingira magumu.
Anyway, ushaanza JF Star TV lini ?
Naona anatafuta viti maalum sasa!CV za makamasy unazidiwajee mpaka na kina msukuma😂😂
Yaani waache kuteuliwa watu Kama KEISHA!! Wachague Dume Kama nayallah kuwa Viti maalum??? Hana mikono?? Km mdee, Bulaya hawataki Viti maalum Hili Dume ndio Linamendea HIKI??😂Naona anatafuta viti maalum sasa!
Sasa hayo matatizo yako, kwanza CUF iliiisha kufa haipo, CUF kabaki Lipumba.
Nimekueleza mimi madhila niyapatayo na dola la ccm, na niyaonayo kwa macho.
Sio kweli nini tena, nikupe matatizo yangu ndio ujue ukweli?!
Mimi ni mtumishi wa umma muda mrefu nafasi tofauti, na ni mtaaluma pia, lakini siyo mwana ccm, na sitaki kulazimushwa hilo.
Nasitaki haki niipate kwa mgongo wa ccm au influences zao, nataka haki iwe haki kweli.
Ndugu yangu anashutumiwa wao wanadai kafanya kosa wakati ushahidi hawana, unauliza matokeo ya uchunguzi hayapo, na hawana ushahidi wowote, naye no mtumishi wa umma lakini wanataka wamuweke mahabusu, kwa kudhani atatoroka, na hiyo kesi ipo tangu 2016 na hajatoroka,leo ndio atoroke, au wanatafuta kumuumiza akae mahabusu tuwape hongo kumtoa?!
Kwamba yuko nje ya mahabusu hawafurahii kila siku anatokea nyumbani kwenda mahakamani, wanataja wambinye familia yake ipate taabu, na hawana ushahidi zaidi ya hear say, na kutafuta rushwa.
Tangu 2016 hawana hata ukurasa mmoja wa taarifa ya uchunguzi, wanadai uchunguzi unaendelea, ukikamilika kesi itasikilizwa, sasa kwanini wamuweke mahabusu kama hawana taarifa yoyote ya uchunguzi, naye hajawazuia kufanya uchunguzi.
Walimsimamisha kazi miezi 8 kupisha uchunguzi hawakuleta taarifa za uchunguzi kwa miezi yote hiyo, hakimu akasema, kama haingilii ucgunguzi basi arudishwe kazini. Akarudi kazini, wale mahasimu wanalazimisha awekwe mahabusu eti atatoroka.
Kupinga hilo la mahabusu, tunaambiwa tunaichafua mahakama, mara tunaisema vibaya mahakama, sisi sio wazalendo na manemo mengi ya kijinga, kwamba sisi ni wapinzani, kwanini tusikubali kisha tukate rufaa, mahabusu ukate rufaa?!.
Sasa kwanini niiendelee kuipenda serikali ya ccm, inayolazimisha kwa assumptions za kijinga.
Na hii ni single incident.
Achana na ccm, bora ni chague tumaini la HAKI, Lisu tu.
Acheni ujinga nyie CDM. Mnafikiri kuna mshabiki yoyote wa CDM ambaye atandika humu JF kwamba JPM atashinda uchaguzi? Hivyohivyo kwa washabiki wa CCM ndani ya JF hawezi kusema CDM itashinda Urais. Sasa mnachotakiwa kukubali ni kwamba muwe wavumilivu kusikia maoni au mawazo ya wapenzi JPM wakitoa maoni yao kama vile ambavyo nyie mjazavyo msg ndani ya hi forum kwa kumpigia debe Mbelgiji Lisu. Ova.Usituletee huo ubashiri wako, ambao kila mtu anajua umeegemea kwenye ukereketwa wa Chama chako cha CCM
Sindano imekuingia unabweka, kweli Mayalla wewe umetisha, unaona mapovu yameanza. Jiwe kizani wengi watajitokeza na mapovu.Mtitiririko wako wamatukio umekaa vizuri sana nakupongeza kwa hayo yote na kwa Utumishi wako wa muda mrefu, lakini conclusion yako inaukakasi na imenipa mashaka makubwa sana sikutegemea kwa mtu mwenye weledi wako na LL.B Hons from UDSM utasupport upumbavu unaoendelea katika nchi yetu.
Ni kweli huenda Degree ya LL.B haikuweza kuwa na manufaa kwako ndo maana hata watu wa Kawe wakaliona hilo na hawakusita kukuonyesha hilo kwa kukupiga chini.
Endelea tu na uandishi wa habari kwani nahisi ndicho alichokupangia Mungu uku kwingine unakurupuka kurupuka tu sio siri. Yaani kwa kujisifu na kwa mtiririko wa matukio nilidhani wewe ndo utakuwa kifua mbele kuwahimiza watu katika kujua, kupinga ukiukwaji wa sheria na kuhimiza kusimamia haki na pia kupinga ukiukwaji wa katiba yetu au hata kuwa kifua mbele katika mapendekezo ya katiba mpya katika nchi yetu kwa “Maslahi mapana ya Taifa” kama unavyodai katika kila thread zako nilizokuwa nikifatilia kwetu sisi na kwa vizazi vinavyokuwa ila imekuwa tofauti sana kwani umeshindwa kuficha hisia zako na nimesikitishwa kwa jambo hilo mno kwani umekuwa ni limbukeni wa mabarababara na Fly over kwa Miaka 5 na kusahau kwa Miaka yote hakukuwa na chama chochote madarakani zaidi ya chama unachojinadi kuwa kada kwa Miaka takribani 50 iliyopita na phase ya kujenga na kuleta vitu hivyo ilipaswa tuwe tumeshapita huko.
I was wondering why you had to be selected and to come first at everything and also to be a representative journalist wa Nchi katika shughuli mbalimbali kama ulivyotaja hapo juu ila baada ya kuevalute the system inapenda kuwa praised then nikapata majibu ya maswali yangu kwanini uliweza ulifit in. Na sikushangai kwa kupigania tumbo lako pia huenda ukaonekana ili uweze kutimiza hazma yako yakuwa mbunge [emoji23] hata kwenye vile viti kumi endapo Mgombea wako akishinda. Hivyo pambana.
Eti “ Nawatakia maandalizi mema ya October 28, sio kwenda kuchagua, bali tuu kuthibisha kukamilisha mchakato”.
And you still brag to hold a Honorable degree of LLB this is a disgrace and embarassment to the intellectual proffesion.