Afande Nyati
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,385
- 1,414
Ni yeyeOk ....huyo si ni Tupac Shakur au katika hiyo avatar yako.....au picha zinafanana.
tupe historia ya huyu mtu basi mkuu
Asante sanaasante nimekuelewa mkuu
asante nimekuelewa mkuu
hapa sasa nimekuelewa in deep zaidi ..
somehowGood....na wewe ni singer?
Hahaha uchochezi huo ndugusasa hicho kichwa kina majipu mawili au.........?
Just temporarily mkuu. Someone dared me to use my own image for a week.Umebadili avatar yako Nemo...
Ooh!!Just temporarily mkuu. Someone dared me to use my own image for a week.
Wa afya tele, bila shaka nawe piaMzima lakini?
pole sana....mbona dawa ya kutu inajulikana......Afande Nyati........Poti bwana na wewe vyuma vimekaza...... kuvaa unavaa bure,kula unakula bure,kusafiri unasafiri bure,kulala unalala bure....vyuma vimekaza wapi poti?Vyuma havitembei. Kutu imezidi