Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa hiyo nafasi........kwa barabara zetu hapa tz vip hiyo gari inaweza kumudu?BUGGATI VEYRON
Ni Gari ambalo kufikia mwaka 2012 lilikuwa bado Ni Gari liliongoza kuwa Gari lilokuwa likiuzwa kwa bei ya Juu sana. Liliuzwa kiasi cha 1.2 b fedha za kitanzania
Nikiwa kwenye maswala ya matembezi na kubadilishana mawazo na madesigner wa magari haya ,walioyaleta Paris France kufanyiwa test nilipata offer ya japo kuingia na kuendesha na kuona comfortability ya Gari hizi .
Kiukweli Ni moja ya Gari zenye nguvu sana na pia sikuwahi kuona Gari inayoperform vizuri barabarani kama ile.
Up today I respect the car that's nikaamua iwe kama ndio avatar Yangu!
Mkuu mbona linaonekana sana tu!!!Lakini bado rangi haionekani sana...Hongera
Kwani we unaona sio mrembo?Hongera.....what do you like na kusema huyu ni mrembo?
Shukran Mkuu ni kweli JF naichungulia tuHongera ....you dont have enough time na JF or.....
Sana ana nyimbo nyingi zinazogusa maisha tunayoishi kunaSafii sana ...ule wimbo wake wa 'REMEMBER ME' huwa unakumbusha mambo mengi sana
That's a matter of choiceUrembo huwa naungalia mwili wote
NdiooUmelishwa ndimu au?