Mwana JF yupi unamkubali sana na kwanini unamkubali?

dah nawaelewa watu kibao humu ndani pamoja na deo KISANDU,kwakuwa mama yangu alikuwa akimsifia kuwa ni mwanaharakati sana, nimesoma nyuzi zake, nimekubali.(wakubwa hawakosei)

mwanaharakati wa haki ya kugegeda

wenzake wanaenda jela kwa mambo mazito yeye alienda kwa kudai haki ya kugegeda utazani watu waliuchukua mgegedeo wake vile
 
Loh jukwaa la ushirikina [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…