Mm bhn huwa nataman nikuzingue ila naona kama mhenga naishia kuona aibu tuuhahaa kuna mmoja ana majina matatu nimemuona hapo!..
Me nashukuru michango yako huwa inanisaidia sana pamoja na vitabu vyako!.. List yako ni yangu kasoro kwangu wanaongezeka
hearly mchawi/nuksi/MD/CwK
Mzigua90
Demiss
Shunie
Kasie
Prof
Kiranga
Hawa watu nikiwasoma huwa napata kitu!. Kuna HR666 naona siku hizi hayupo online naye alikuwa na pumba za kuniongeza siku za kuishi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji85] [emoji125] [emoji85] [emoji125] [emoji85] [emoji13] [emoji121] [emoji121] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]
NipoooBinamu upo.....!
NipoBinamu upo.....!
Na wewe ukiingia jf unafatilia Demiss kaandika nini nyauuuu wewe utaharaaaa sana mwaka huuuWewe kwenye kila thread lazima uandike ujinga ujinga?!
Huyo unayemkubali nadhani akili zenu zipo same level ndio maana unamkubali,uwe unasoma maudhui ya thd kwanza kabla ya kukurupuka hovyo kama chafya.
Atakua n miss fulanYule dada namuomba mchezo mwezi wa 9 huu
Nakumbuka kipindi kile kapigwa ban, tukaanzisha kampeni ya #BringbackOurWarumi#, mweeh tumemmiss binamu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu una kumbukumbu loooh!!acha tu!yaani warumi hapana kwa kweli sijui yaani km atatokea km yeye
Mada inataka mchangiaje ataje member anayemkubali kutokana na mchango wake wa elimu na kimawazo,wewe unatuletea eti unamkubali huyo coz anakujua nje ndani,mara sijui bila nguo!! soma maudhui ya mada acha kuharibu thd za watu kwa kuwaza ujinga kila time,Na wewe ukiingia jf unafatilia Demiss kaandika nini nyauuuu wewe utaharaaaa sana mwaka huuu
Encrypted! Umenikumbusha kitabu cha The Da' Vinci Code by Dan Brown mkuu, kuna codes za kutoshaShukrani mkali mwenzangu Genius anaepiga miguu yote kama Fabregas...the man himself Da'Vinci mwenye macodes yake ya encrypted cryptographic kagonokasibility...Ahahaha!
Thanks bro! [emoji23]
DohNamkubali Mshana jr kwa sababu ni mtu anayenijua nje ndani kuanzia Jf mpaka ndani kabisa bila nguo.
me mbona kaben10 [emoji2]Mm bhn huwa nataman nikuzingue ila naona kama mhenga naishia kuona aibu tuu
Yap....itakuwa.Eeeh. Kuna mmoja nilishaambiwa alishawahi niongelea nikahisi atakua huyo maana najua yeye ndo zake kweli japo haongei kwa ubaya
Eti anatongozeka. Kutongozwa na kukubali si inategemea mtu anakuchukuliaje au wanataka kujua wale wanaotongozwa na yeyote poa tu bora katongozwa neno hapana hana mdomoni kwake eeh. Halafu nae aache uoga sasa anaogopa nini kutongoza akila za uso si kawaida tuYap....itakuwa.
Yaani ni ile, flani yupoje, nje ya jf pia yupo hivi na blah blah kibao, vp anatongozeka....chaaaaaa!!!!ππ
Mie nabaki kushangaa.
Ila wanaume wengi wa humu tukikutana nao ni kuulizia flan na flan wapoje
Hapo sasa.Eti anatongozeka. Kutongozwa na kukubali si inategemea mtu anakuchukuliaje au wanataka kujua wale wanaotongozwa na yeyote poa tu bora katongozwa neno hapana hana mdomoni kwake eeh. Halafu nae aache uoga sasa anaogopa nini kutongoza akila za uso si kawaida tu
HahahahaaaHapo sasa.
Mwanaume unaogopaje kutongoza?
Sema sasa ile kuchunguzana ndo majinuni.
Wanapapasa papasa tu
Nikupe contacts zake?Bado Mimi hatujakutana[emoji2] [emoji2]
Mie nilimsifia kwenye uzi flani mwaka juzi....akanipa ofa ya lunch na kinywaji pale New's Cafee....so, mmention tu mkuu, huenda mwaka huu ofa ikaangukia kwako.Mi namkubali le mutuz