Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
[emoji23] ulienda ? Ngoja aje na mimi nikaonane na big business moguls le super billionaires @williammallecellaMie nilimsifia kwenye uzi flani mwaka juzi....akanipa ofa ya lunch na kinywaji pale New's Cafee....so, mmention tu mkuu, huenda mwaka huu ofa ikaangukia kwako.
Mie mwenyewe namkubali sana sometimes
Nilienda...nikala na kunywa na selfie tukapiga pamoja.[emoji23] ulienda ? Ngoja aje na mimi nikaonane na big business moguls le super billionaires @williammallecella
Aisee[emoji23] ,ila angalia sana ,anasifika kua ni kuwadiNilienda...nikala na kunywa na selfie tukapiga pamoja.
Guda guda tu the big boss
HahahahahAisee[emoji23] ,ila angalia sana ,anasifika kua ni kuwadi
Kumbe wanaume wa huku ni maskini kiasi hicho?Bora udate hata mbuzi kuliko wa humu basi kama hata pombe hawana uwezo wa kununuaUwiii. Nani huyo?? Kama namuhisi. Inawezekana ila wenye uwezo wa kuninyweshwa humu ni watatu tuu na wanajijua
Wacha weee. Ukala lunch na le mbebez eeh. [emoji23][emoji23][emoji23]Mie nilimsifia kwenye uzi flani mwaka juzi....akanipa ofa ya lunch na kinywaji pale New's Cafee....so, mmention tu mkuu, huenda mwaka huu ofa ikaangukia kwako.
Mie mwenyewe namkubali sana sometimes
Sio hawana hela ninaoweza nikanywa nao uwezo wangu wangu wa kunywa na nikawa na amani ndo hao watatu. Wengine story mbili tatu na chupa mbili tatu basi tunaishia hapo.Kumbe wanaume wa huku ni maskini kiasi hicho?Bora udate hata mbuzi kuliko wa humu basi kama hata pombe hawana uwezo wa kununua
Kwa raha zangu...nikajibana kwapani kwake maisha yakaendelea.Wacha weee. Ukala lunch na le mbebez eeh. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ana kamba nyingi kweli hasa za hela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wacha nimtafute nipate story mpya mpyaKwa raha zangu...nikajibana kwapani kwake maisha yakaendelea.
Ila jamaa ana story, naona na kamba kibao.
Ila yuko vizuri...unakula na kunywa unachotaka
Nakumbuka hiyo wengi tu walikuwa wanasema jamani nipokeen kipindi hicho jukwaa limechachamaa kwa umbeya mara kwa sinta wewe"Jamani na mimi ni mmbea mwenzenu nipokeeni", ulituchekesha sana siku hiyo bina
Ahsante sanaKwa niaba yako wacha nimpe hongera nyingi kwa uzao na pole pia.
Evelyn Salt
Ha ha haaamikono migumu hadi akigusa Laptop inaandika "Found new hardware".
Amen, eksept ze operationYuko maternity leave. Alijifungua mapacha kwa operesheni.
Humble acha kumpiku mshana maneno yako haya unaweza shangaa kaka yangu akapigwa kibutiDemiss licha ya kuwa ni mtu anaespeak mind yake bila kujali chochote pia ni Mtu rahisi sana kuendana nae...yaani anyone can easily befriended with her.
Precisely, huwa anafanya research anaandaa list zake za boys ma HB humu JF sijawahi kukosa kwenye list yake... Thats not simple, That's noble respect anayonipa is priceless.
Anayajua mahaba na anapenda kwa dhati. Refers mshana Jr case na unguli alionae demiss kule kwa wakubwa.
Wewe Demiss ni mzuri, charming, and tender...achana na wale mademu pugi demu ana mikono migumu hadi akigusa Laptop inaandika "Found new hardware"...Ahahaha!! Demu ngozi ngumu hadi akikonyeza kulia na mguu wa kulia unanyanyuka kidogo. Ahahaha!
Keep the fire burning swry lady.
[emoji176]
Ha ha enzi zenu mnachambwa hadi mnajikuta mnaishia kujiquote wenyewe, mara binamu akasake umbea hadi kulala msibani. Kwa sinta kulikuwa kutamu sanaNakumbuka hiyo wengi tu walikuwa wanasema jamani nipokeen kipindi hicho jukwaa limechachamaa kwa umbeya mara kwa sinta wewe
Warumi ana vituko jamani anakuambia kutunza yake moyoni hawezi sembuse yakoHa ha enzi zenu mnachambwa hadi mnajikuta mnaishia kujiquote wenyewe, mara binamu akasake umbea hadi kulala msibani. Kwa sinta kulikuwa kutamu sana
Haha na msemo wake wambea hatufagi mapemaWarumi ana vituko jamani anakuambia kutunza yake moyoni hawezi sembuse yako
Hahaha siyo kwelime mbona kaben10 [emoji2]
Ahahahha maana hatukai na vitu moyoni tunavitoa tuHaha na msemo wake wambea hatufagi mapema
Haha tunaviropoka tuAhahahha maana hatukai na vitu moyoni tunavitoa tu