Mwana JF yupi unamkubali sana na kwanini unamkubali?

Mwana JF yupi unamkubali sana na kwanini unamkubali?

warumi
Alikuwa ana uwezo wa kuleta habari za gossip kwa mbwembwe ya hali ya juu,anaipamba habari,unarefresh ,unaenjoy na kusahau shida.Kimbembe akianza kuchambana...rudi binamu.

Max Melo Heshima nyingi juu yako.

Mama Sabrina
Akiacha ujinga kama nzi anaweza kutengeneza asali kama nyuki

Raynavero sababu haielezeki kwa maneno &

Sky Eclat ananifurahisha

paschal Mayalla
Akili yake na uwezo wake wa kupaambanua mambo,ucheshi na haiba yake.

al watan
Akili yake.Mitazamo wake na heshima yake kwa wengine.Huwezi kumkuta anachambana hata akichokozwa kiasi gani.Uhuru wa fikra na ujuzi wa mambo.
Nawakubali wengi ila hawa nimejiskia vema kuwataja
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji122] shukrani my dear!!!I'm humbled!!!

Warumi tumemmis sanaa!

We luv u too
 
Mie niko tofauti kidogo na mleta mada.
Mie namdiss mkuda mmoja hivi humu Jf.
Ni dume ila ikifika usiku anakuwa jike.
Hana kazi ya maana zaidi ya kuita wadada wa Jf na kuanza kufuatilia maisha yao.

Kwanza dume zima unaanzaje kuulizia maisha ya mwanamke!!!....unataka kuwa shoga etu au!
Next time nakuvisha dera...sina pengine pa kusemea.
Nimekusema ila naona hujirekebishi.
Utakuja kuolewa bila mahari wala sare.
Najua unajijua, unajikuta Jay Z huko uliko.
20180729_172739.jpg
Nakusindikiza nalo...nyau we!!!!
Koma kufuatilia maisha yangu.

Namba yangu ya simu huna...ila matatizo yangu unayo....kama sio uchawi ni nini!!!
Nyau we.
 
Mie niko tofauti kidogo na mleta mada.
Mie namdiss mkuda mmoja hivi humu Jf.
Ni dume ila ikifika usiku anakuwa jike.
Hana kazi ya maana zaidi ya kuita wadada wa Jf na kuanza kufuatilia maisha yao.

Kwanza dume zima unaanzaje kuulizia maisha ya mwanamke!!!....unataka kuwa shoga etu au!
Next time nakuvisha dera...sina pengine pa kusemea.
Nimekusema ila naona hujirekebishi.
Utakuja kuolewa bila mahari wala sare.
Najua unajijua, unajikuta Jay Z huko uliko.
View attachment 821981Nakusindikiza nalo...nyau we!!!!
Koma kufuatilia maisha yangu.

Namba yangu ya simu huna...ila matatizo yangu unayo....kama sio uchawi ni nini!!!
Nyau we.
Pole nadhani atakua kaupata ujumbe. Anatuaibisha wanaume bhana
 
Mie niko tofauti kidogo na mleta mada.
Mie namdiss mkuda mmoja hivi humu Jf.
Ni dume ila ikifika usiku anakuwa jike.
Hana kazi ya maana zaidi ya kuita wadada wa Jf na kuanza kufuatilia maisha yao.

Kwanza dume zima unaanzaje kuulizia maisha ya mwanamke!!!....unataka kuwa shoga etu au!
Next time nakuvisha dera...sina pengine pa kusemea.
Nimekusema ila naona hujirekebishi.
Utakuja kuolewa bila mahari wala sare.
Najua unajijua, unajikuta Jay Z huko uliko.
View attachment 821981Nakusindikiza nalo...nyau we!!!!
Koma kufuatilia maisha yangu.

Namba yangu ya simu huna...ila matatizo yangu unayo....kama sio uchawi ni nini!!!
Nyau we.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu ktk ubora wakoo!

Nani huyo ana tabia za kipugi pugi[emoji23] [emoji23]
Mods natania tuu
 
warumi
Alikuwa ana uwezo wa kuleta habari za gossip kwa mbwembwe ya hali ya juu,anaipamba habari,unarefresh ,unaenjoy na kusahau shida.Kimbembe akianza kuchambana...rudi binamu.

Max Melo Heshima nyingi juu yako.

Mama Sabrina
Akiacha ujinga kama nzi anaweza kutengeneza asali kama nyuki

Raynavero sababu haielezeki kwa maneno &

Sky Eclat ananifurahisha

paschal Mayalla
Akili yake na uwezo wake wa kupaambanua mambo,ucheshi na haiba yake.

al watan
Akili yake.Mitazamo wake na heshima yake kwa wengine.Huwezi kumkuta anachambana hata akichokozwa kiasi gani.Uhuru wa fikra na ujuzi wa mambo.
Nawakubali wengi ila hawa nimejiskia vema kuwataja
Ahahhahahaaaa akili ninazo nyingi sana tu
 
Mie niko tofauti kidogo na mleta mada.
Mie namdiss mkuda mmoja hivi humu Jf.
Ni dume ila ikifika usiku anakuwa jike.
Hana kazi ya maana zaidi ya kuita wadada wa Jf na kuanza kufuatilia maisha yao.

Kwanza dume zima unaanzaje kuulizia maisha ya mwanamke!!!....unataka kuwa shoga etu au!
Next time nakuvisha dera...sina pengine pa kusemea.
Nimekusema ila naona hujirekebishi.
Utakuja kuolewa bila mahari wala sare.
Najua unajijua, unajikuta Jay Z huko uliko.
View attachment 821981Nakusindikiza nalo...nyau we!!!!
Koma kufuatilia maisha yangu.

Namba yangu ya simu huna...ila matatizo yangu unayo....kama sio uchawi ni nini!!!
Nyau we.
Tabia za mapugi hizo
 
Back
Top Bottom