Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Yeyote mwenye heshima namkubali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji122] shukrani my dear!!!I'm humbled!!!warumi
Alikuwa ana uwezo wa kuleta habari za gossip kwa mbwembwe ya hali ya juu,anaipamba habari,unarefresh ,unaenjoy na kusahau shida.Kimbembe akianza kuchambana...rudi binamu.
Max Melo Heshima nyingi juu yako.
Mama Sabrina
Akiacha ujinga kama nzi anaweza kutengeneza asali kama nyuki
Raynavero sababu haielezeki kwa maneno &
Sky Eclat ananifurahisha
paschal Mayalla
Akili yake na uwezo wake wa kupaambanua mambo,ucheshi na haiba yake.
al watan
Akili yake.Mitazamo wake na heshima yake kwa wengine.Huwezi kumkuta anachambana hata akichokozwa kiasi gani.Uhuru wa fikra na ujuzi wa mambo.
Nawakubali wengi ila hawa nimejiskia vema kuwataja
Asiwe ndio yeye?[emoji23]aaaaa GuDume kaosha nyota leo
kumbe tuko wengi[emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] wewe na warumi ndo mlinifanya nipigane kuingia
Undugu hazina yetuu!long time[emoji8] [emoji8] [emoji8]
Thanks.Ahsante sana Madam nishakaribia.
Let me join your 👑
Pole nadhani atakua kaupata ujumbe. Anatuaibisha wanaume bhanaMie niko tofauti kidogo na mleta mada.
Mie namdiss mkuda mmoja hivi humu Jf.
Ni dume ila ikifika usiku anakuwa jike.
Hana kazi ya maana zaidi ya kuita wadada wa Jf na kuanza kufuatilia maisha yao.
Kwanza dume zima unaanzaje kuulizia maisha ya mwanamke!!!....unataka kuwa shoga etu au!
Next time nakuvisha dera...sina pengine pa kusemea.
Nimekusema ila naona hujirekebishi.
Utakuja kuolewa bila mahari wala sare.
Najua unajijua, unajikuta Jay Z huko uliko.
View attachment 821981Nakusindikiza nalo...nyau we!!!!
Koma kufuatilia maisha yangu.
Namba yangu ya simu huna...ila matatizo yangu unayo....kama sio uchawi ni nini!!!
Nyau we.
Milele undugu hazina nimeipenda[emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] wewe na warumi ndo mlinifanya nipigane kuingia
Undugu hazina yetuu!long time[emoji8] [emoji8] [emoji8]
Mkanyeni mwenzenu.Pole nadhani atakua kaupata ujumbe. Anatuaibisha wanaume bhana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu ktk ubora wakoo!Mie niko tofauti kidogo na mleta mada.
Mie namdiss mkuda mmoja hivi humu Jf.
Ni dume ila ikifika usiku anakuwa jike.
Hana kazi ya maana zaidi ya kuita wadada wa Jf na kuanza kufuatilia maisha yao.
Kwanza dume zima unaanzaje kuulizia maisha ya mwanamke!!!....unataka kuwa shoga etu au!
Next time nakuvisha dera...sina pengine pa kusemea.
Nimekusema ila naona hujirekebishi.
Utakuja kuolewa bila mahari wala sare.
Najua unajijua, unajikuta Jay Z huko uliko.
View attachment 821981Nakusindikiza nalo...nyau we!!!!
Koma kufuatilia maisha yangu.
Namba yangu ya simu huna...ila matatizo yangu unayo....kama sio uchawi ni nini!!!
Nyau we.
Ahahhahahaaaa akili ninazo nyingi sana tuwarumi
Alikuwa ana uwezo wa kuleta habari za gossip kwa mbwembwe ya hali ya juu,anaipamba habari,unarefresh ,unaenjoy na kusahau shida.Kimbembe akianza kuchambana...rudi binamu.
Max Melo Heshima nyingi juu yako.
Mama Sabrina
Akiacha ujinga kama nzi anaweza kutengeneza asali kama nyuki
Raynavero sababu haielezeki kwa maneno &
Sky Eclat ananifurahisha
paschal Mayalla
Akili yake na uwezo wake wa kupaambanua mambo,ucheshi na haiba yake.
al watan
Akili yake.Mitazamo wake na heshima yake kwa wengine.Huwezi kumkuta anachambana hata akichokozwa kiasi gani.Uhuru wa fikra na ujuzi wa mambo.
Nawakubali wengi ila hawa nimejiskia vema kuwataja
Sema ndo hatumfahamu sasa tungeweza hata kumtembelea PM tukampa Madini mwanamme anapaswa kuwajeMkanyeni mwenzenu.
Anawaaibisha.
Tabia za mapugi hizoMie niko tofauti kidogo na mleta mada.
Mie namdiss mkuda mmoja hivi humu Jf.
Ni dume ila ikifika usiku anakuwa jike.
Hana kazi ya maana zaidi ya kuita wadada wa Jf na kuanza kufuatilia maisha yao.
Kwanza dume zima unaanzaje kuulizia maisha ya mwanamke!!!....unataka kuwa shoga etu au!
Next time nakuvisha dera...sina pengine pa kusemea.
Nimekusema ila naona hujirekebishi.
Utakuja kuolewa bila mahari wala sare.
Najua unajijua, unajikuta Jay Z huko uliko.
View attachment 821981Nakusindikiza nalo...nyau we!!!!
Koma kufuatilia maisha yangu.
Namba yangu ya simu huna...ila matatizo yangu unayo....kama sio uchawi ni nini!!!
Nyau we.
[emoji122] [emoji23] [emoji2] [emoji2] haya madogo madogo acha yapite...sisi ni wale wale!!Milele undugu hazina nimeipenda
Acha tu binamu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu ktk ubora wakoo!
Nani huyo ana tabia za kipugi pugi[emoji23] [emoji23]
Mods natania tuu
Nani?!![emoji15] [emoji15] [emoji101] [emoji101] [emoji101] [emoji101] [emoji101] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Mkanyeni mwenzenu.
Anawaaibisha.
Alf alf mabrouk bina ,waache hawajui tu[emoji122] [emoji23] [emoji2] [emoji2] haya madogo madogo acha yapite...sisi ni wale wale!!
Hawajui tulipotoka..hawawezi jua tunapoenda...!!
Acha watuone tu kwenye comments!
Looh!tukiwaita mapugii tunapigwa ban[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Acha tu binamu.
Wanaume wengine jau tu.
Limenifika hapaaaaaa.....