Abeee nduguMantiki ya mada imeachwa na kukimbiliwa unene sijui Nini na Nini!
Ukweli wengi wa wanawake ndio chanzo Cha michepuko kwenye ndoa na mahausiano.
Hata Kama mtu ume choka Kuna namna ya kumfikishia ujumbe ya kwamba umechoka au haujisikii.
Ndoa au mahusianao na ya namna hii hua hayakawii kuvunjika, mkisha kua single mnaanza oh mwana ume vile mwanaume hivi , Mara wanaume wote Ni mbwa !
Nawahakikishia wadada life style mlio nayo kipindi hiki sure kilio chenu au watoto wenu kitakua kikubwa mno!
Video aione pia ndugu Heaven Sent
Unataka mume wakati wengine walitoa bikraAiseh ni tamu wallah nitamnunulia mume wangu wallahi
Hii kibabe sana lazma watoke nduki humuπ€©π€©π€© af hapo mtu anadengua eti anataka mahari ya million 3Unataka mume wakati wengine walitoa bikra
Daaah kwa hiyo Huyo mume ana lipa LOBOLA (mahari) kumbe una chain ya vidume vimepiga hadi imetepetaView attachment 1765863
Acha uongo wewe matagaBao nyingi kuchafuana mama. Unaweza ukapigwa moja la kitaalam ukavaa mwenyewe.
Big Poppa
Wakulaumiwa ni mwanaume kuoa mtu ambaye sio bikraHii kibabe sana lazma watoke nduki humu[emoji2956][emoji2956][emoji2956] af hapo mtu anadengua eti anataka mahari ya million 3
πππNadhani Kuna umri na umri,Sema wewe...yaani uanze nitishia mimi kweli? Khaa..hahaaa mie sijui nitishwe nini ndo nitishike aiseπ€£π€£!
Kuna yule mpumbavu alitaka mahari ya 500milionHii kibabe sana lazma watoke nduki humu[emoji2956][emoji2956][emoji2956] af hapo mtu anadengua eti anataka mahari ya million 3
Mi huyo!! Huu mkwara haushtui kabisa labda kwa watotoUmeanza Kudemka demka eeh π€π€π€
Nilikua naomba uangalie tu video then utupe maoni yako.Abeee ndugu
Ha ha ha...ningemfurusha hapo kitandani hicho kishindo angeanguka nacho sio cha nchi hii.
Huu ndio mfano halisi wa kile ambacho kinatokea ndani ya nyumba nyingi! Natumaini wa kujifunza mtajifunza jambo π€©π€©π€©!!!
cariha Rebeca 83 Wangari Maathai Espy Karma Saint Anne financial services muite na wenzenu
Hana stress ,πHivi mtu anakuaje bonge hivyo aseee