LINGWAMBA
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 484
- 1,214
Ww kweli hujielewi toka lini israel na USA wakawa marafiki na mtu hao wanaangalia maslahi yao tu ukienda kinyume na wao wanakuua na wameshaona sasa hv saudia anaanza kuwa upande wa Russia na kitendo cha kukubali malipo ya mafuta bila dollar hapo tayari ishakufa nongwaWatajuta hao waliotaka kumuua, anajua ana maadui wengi sana ndio maana anashirikiana na USA na Israel kwa ulinzi zaidi.