Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Wametumwa na Allah wanataka kumuua huku wanaimba Allah Akbaru
haleluya kama si mjaluo mluhya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wametumwa na Allah wanataka kumuua huku wanaimba Allah Akbaru
Allah mwenyewe hawezi?
Dogo jikite kwenye mada. Acha kubwabwaja uharo jamvini.Roho Mtakatifu wako anaweza ??
Dogo jikite kwenye mada. Acha kubwabwaja uharo jamvini.
huyo kiongozi ni muuaji,alishauchafua huo mji mtakatifu kwa kumuua mwandishi wa habari Jamal Khashoggi...naunga mkono jaribio la kuuliwa kwakeHao watu wana shida gani? Wanataka wachafue mji mtakatifu wa maca kwa kumuua kiongozi wa nchi hiyo?