Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
akili ni kitu cha thamani sana, sio akili tu bali akili nzuri.Hata bunduki ujui kutumia, lakini maneno mengi unafikiri kulenga na kufanikisha shabaha ni mchezo mchezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akili ni kitu cha thamani sana, sio akili tu bali akili nzuri.Hata bunduki ujui kutumia, lakini maneno mengi unafikiri kulenga na kufanikisha shabaha ni mchezo mchezo
R.I.P Jamal khashoggi!!!Jaribio la kumuondoa uhai limefanyika jana. Na mpaka sasa hakuna report yeyote official ya kinachoendelea iliyotolewa na ufalme wa Saudi Arabia. Saudi Arabia imekua ni mshirika mkubwa wa Marekani na israeli katika siku za hivi karibuni hasa kwenye mgogoro huu wa Palestine na Israel. Kijana Mohamed Salman anaonekana kutaka kuleta mageuzi ndani ya nchi hiyo ya kiislamu huwenda ikawa ni sababu ya wanaopinga utawala kuamua kuchukua jukumu la la kutaka kumuua.
View attachment 2983068
Kwani huo ukoo wa kifalme wa Saud Arabia ni generation ya mtume Mohamad?Ufalme wa saudia wote sio watawala halali wa hilo eneo,,,,walipewa kwa sababu walikua chawa wa wazungu enzi za kupambana na Otoman, hao jamaa walishirikiana na mabepari , na ndo maana ili waendelee kutawala hilo eneo lazima wawalambe miguu wazungu
Siyo,mzee Al Saud aliona fursa,akawa chawa wa wazungu,Vita vilipokwisha akapewa nchi,akaibadili jina toka Hijaz mpaka Saudi Arabia,yaani nchi akaipa jina lakeKwani huo ukoo wa kifalme wa Saud Arabia ni generation ya mtume Mohamad?
Hao prince ndio wanaomuwinda wamuue sasaMarekani wakati wa trump ndo waliomuweka
Kiutaratibu wa kifalme sio yeye anayefuata na aliwaweka kizuizini maprince wote baada ya kuwa mfalme
Yule ni kibaraka wa nchi za western ndo maana katoa kibali cha kufungua duka la kuuza pombe riyadh na mabadiliko kibao anayafanya ambayo hapo nyuma hakuna aliyetegemea yatafanyika saud arabia
Hatari kweli kweli.....Jaribio la kumuondoa uhai limefanyika jana. Na mpaka sasa hakuna report yeyote official ya kinachoendelea iliyotolewa na ufalme wa Saudi Arabia. Saudi Arabia imekua ni mshirika mkubwa wa Marekani na israeli katika siku za hivi karibuni hasa kwenye mgogoro huu wa Palestine na Israel. Kijana Mohamed Salman anaonekana kutaka kuleta mageuzi ndani ya nchi hiyo ya kiislamu huwenda ikawa ni sababu ya wanaopinga utawala kuamua kuchukua jukumu la la kutaka kumuua.
View attachment 2983068
Yeah wanaotaka kumuondoa ni ndugu zake kabisa.Hao prince ndio wanaomuwinda wamuue sasa
🙄Aisee, kuna target zingine if aim at them, just make sure you dont miss, otherwise we are gonna miss you, yourself
Unatakiwa ulindwe na nani hamas??Nani alikwambia ukitaka usife unatakiwa ulindwe ma marekani au israeli?
Hii habari haina ukweli wowoteJaribio la kumuondoa uhai limefanyika jana. Na mpaka sasa hakuna report yeyote official ya kinachoendelea iliyotolewa na ufalme wa Saudi Arabia. Saudi Arabia imekua ni mshirika mkubwa wa Marekani na israeli katika siku za hivi karibuni hasa kwenye mgogoro huu wa Palestine na Israel. Kijana Mohamed Salman anaonekana kutaka kuleta mageuzi ndani ya nchi hiyo ya kiislamu huwenda ikawa ni sababu ya wanaopinga utawala kuamua kuchukua jukumu la la kutaka kumuua.
View attachment 2983068