Mwana mfalme wa Saudi Arabia Mohamed Salman anusuruka Kuuawa huko Riyadh

Mwana mfalme wa Saudi Arabia Mohamed Salman anusuruka Kuuawa huko Riyadh

Jaribio la kumuondoa uhai limefanyika jana. Na mpaka sasa hakuna report yeyote official ya kinachoendelea iliyotolewa na ufalme wa Saudi Arabia. Saudi Arabia imekua ni mshirika mkubwa wa Marekani na israeli katika siku za hivi karibuni hasa kwenye mgogoro huu wa Palestine na Israel. Kijana Mohamed Salman anaonekana kutaka kuleta mageuzi ndani ya nchi hiyo ya kiislamu huwenda ikawa ni sababu ya wanaopinga utawala kuamua kuchukua jukumu la la kutaka kumuua.

View attachment 2983068
R.I.P Jamal khashoggi!!!
 
Ufalme wa saudia wote sio watawala halali wa hilo eneo,,,,walipewa kwa sababu walikua chawa wa wazungu enzi za kupambana na Otoman, hao jamaa walishirikiana na mabepari , na ndo maana ili waendelee kutawala hilo eneo lazima wawalambe miguu wazungu
Kwani huo ukoo wa kifalme wa Saud Arabia ni generation ya mtume Mohamad?
 
Hii ni habari njema lakini inaonekana imefanywa siri sana.Cnn na wenzao hawajatamka lolote.
 
Marekani wakati wa trump ndo waliomuweka
Kiutaratibu wa kifalme sio yeye anayefuata na aliwaweka kizuizini maprince wote baada ya kuwa mfalme

Yule ni kibaraka wa nchi za western ndo maana katoa kibali cha kufungua duka la kuuza pombe riyadh na mabadiliko kibao anayafanya ambayo hapo nyuma hakuna aliyetegemea yatafanyika saud arabia
Hao prince ndio wanaomuwinda wamuue sasa
 
Jaribio la kumuondoa uhai limefanyika jana. Na mpaka sasa hakuna report yeyote official ya kinachoendelea iliyotolewa na ufalme wa Saudi Arabia. Saudi Arabia imekua ni mshirika mkubwa wa Marekani na israeli katika siku za hivi karibuni hasa kwenye mgogoro huu wa Palestine na Israel. Kijana Mohamed Salman anaonekana kutaka kuleta mageuzi ndani ya nchi hiyo ya kiislamu huwenda ikawa ni sababu ya wanaopinga utawala kuamua kuchukua jukumu la la kutaka kumuua.

View attachment 2983068
Hatari kweli kweli.....
 
Ilikuwa ajali au ahuambulio la risasi?
 
Namkumbuka marehemu Jamal Khashogi. Kuna watu hawaogopi kucheza na black mamba. Hadi leo mwili wa jamali haujapatikana pamoja na kwamba mambo hayo yalitendeka ubalozini sembuse ndani ya Saudia kwenyewe. Hao jamaa watageuzwa kuwa maji na wataenda kuyamwaga mchana kama maji taka.
 
Jaribio la kumuondoa uhai limefanyika jana. Na mpaka sasa hakuna report yeyote official ya kinachoendelea iliyotolewa na ufalme wa Saudi Arabia. Saudi Arabia imekua ni mshirika mkubwa wa Marekani na israeli katika siku za hivi karibuni hasa kwenye mgogoro huu wa Palestine na Israel. Kijana Mohamed Salman anaonekana kutaka kuleta mageuzi ndani ya nchi hiyo ya kiislamu huwenda ikawa ni sababu ya wanaopinga utawala kuamua kuchukua jukumu la la kutaka kumuua.

View attachment 2983068
Hii habari haina ukweli wowote
 
Hata hivyo ni miracle 21st Century kuendelea kuwa na Absolute Monarchs..., Ndio maana zimebaki chache Brunei, Bahrain, Jordan, Kuwait, Oman, Qatar, Saudi Arabia, na United Arab Emirates.., kwahio nadhani hatari kwa hii aina ya Utawala wala sio maadui pekee bali ni muda (wanapitwa na wakati)
 
Back
Top Bottom