Mwana mfalme wa Saudi Arabia Mohamed Salman anusuruka Kuuawa huko Riyadh

Watajuta hao waliotaka kumuua, anajua ana maadui wengi sana ndio maana anashirikiana na USA na Israel kwa ulinzi zaidi.
Ww kweli hujielewi toka lini israel na USA wakawa marafiki na mtu hao wanaangalia maslahi yao tu ukienda kinyume na wao wanakuua na wameshaona sasa hv saudia anaanza kuwa upande wa Russia na kitendo cha kukubali malipo ya mafuta bila dollar hapo tayari ishakufa nongwa
 
Wee mgalatia uchwara hizi porojo z Twitter unatuletea huku tujadili?
 
Nani alikwambia ukitaka usife unatakiwa ulindwe ma marekani au israeli?
Shetani yuko kazini , unaweza tangulizwa kabla ya wakati wako. Kwa mfano mtu anachepuka na kupata magonjwa unafikiri ni mpango wa Mungu upate magonjwa na kufa mapema?
 
Kwahiyo huo ndio ushahidi wako kuwa jamaa kawekwa hapo na marekani?
 
Yatatembea Majambia Hapo Hawataamini.
Huyu jamaa maadui wake hawatoki mbali ,kawafanyia umafia sana ndugu zake mpaka kupata hiyo nyadhifa , kuna yule binamu yake ambaye alikuwa waziri wa ulinzi ndio alipaswa kutake over na kupata hiyo nyadhifa, alimteka na kumweka kwenye hotel na kumfanyia blackmail , masaudi wote wale prince wengine matajiri walifanyiwa hivyo hivyo wakawekwa kwenye hotel moja na kuzuiwa kusafiri nje ya nchi na bank accounts zao kuwa freezed na pesa zao kutolewa .
 
Ufalme wa saudia wote sio watawala halali wa hilo eneo,,,,walipewa kwa sababu walikua chawa wa wazungu enzi za kupambana na Otoman, hao jamaa walishirikiana na mabepari , na ndo maana ili waendelee kutawala hilo eneo lazima wawalambe miguu wazungu
 
Watajuta hao waliotaka kumuua, anajua ana maadui wengi sana ndio maana anashirikiana na USA na Israel kwa ulinzi zaidi.
Hao Wamarekani na Israel ndiyo wanaomtafuta huyo, niliwahi kuandika hivi:

 
Fake news
 
Saudi Arabia mgogoro wa kiutawala hautoisha. Na serikali zao hutumia nguvu nyingi sana kulinda tawala zao, wako radhi kufanya lolote na ni wakali kweli ukiwachezea. MBS ana maadui wengi ndani ya nchi yake kuliko hata nje, kwanza nje wanaomchukia ni Qatar hasa hamna mwingine. Wengineo ni Waislamu wenye msimamo mkali ambao hawajawahi penda kiongozi yeyote wa Saudi hata atoke huyu aje mwingine.
 
Weka ushahidi wacha talalila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…