TANZIA Mwanachama mkongwe wa Yanga Ibrahim Akilinali afariki dunia

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtani wangu Akilimali kaniangusha Ana akili halafu anakufa
Kwa Nini Hajatumia akili asife?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Innalillah wainna ilayh rajiuun.allahumma ghifrilahu warhamahu waskanna filljanna amiin.
 
Katibu wa Kamati ya wazee japo haipo kikatiba.
Aliongoza kamati za "ufundi" ambayo ilikuwa ni magumashi ya kula hela.
Mungu amrehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…