TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24]
 
busara za watu wazima hizi
 
Innalilah wainalilaaah rajun.....hivi ndo yulee wa ubuyu au yuleee Ni mwingine.maana Kama alikuwa anaumwa aliwezaje kuwa mbea kiasi kileee
 
[emoji38][emoji38][emoji38]acha kabisaa...nammis sana binamu Mungu ampe pumziko!kipindi kile ilikua hot Sana'a!warumi na matola kaahh!acha kabisa...

Na ile ya kuambiana ndo aliua bendi

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji28]balaaa watu wanashindwa kuchamba jf wanaenda uturn na kwa sintah kuchamba!
Ila warumi jamani daah!ametuweza sana....!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…